Food and Travel

Discuss about cooking, food, recipes and travel. Share and discover great recipe and baking ideas on this forum and meet fellow cooking enthusiasts.

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

  • Sticky
Wasalaam Huu uzi wa kipekee wa kutupia picha ya chakula unachokula. Sio lazima Updike wewe unaweza kuwa umenunua au umekipika. Ingependeza ukatupia picha ukiwa hujala na baada ya kula😀 NB: Usi upload picha ya chakula vinavyowekwa mtandaoni
Replies
663
Views
13K
Is it from a specific region of China? What is your favorite Chinese restaurant experience? I am big on dumplings
Replies
4
Views
273
Wakuu nipo alone mwenyewe huku muda umesonga kigiza kimeingia ila sijui nipike nini au ninunue kiepe? Wadau nipeni mawazo msosi wa chap ambao hautumii nguvu na ela nyingi duh nimekuwa mvivu wa kufikitia Gily Leejay Katkit
Replies
15
Views
474
Waswahili wanasema Tembea Uone! Tanzania Hasa katika Mkoa wa Arusha Na Hasa katika Hifadhi ya Ngorongoro kuna Ziwa Natron ambalo Asili ya ziwa hilo Ni Nyekundu mpaka Kufikia huko Duniani watu kuliita ziwa Hilo Deadly Lake. Kama unapanga kufanya utalii wa ndani Ngorongoro kwa kipindi hichi...
Replies
4
Views
159
Habari 👋 husika na kichwa hapo juu je ni vizuri kunywa maziwa ya pakiti mfano asas bila kuchemsha mada hii imekuja akilini baada ya kunywa asas ya baridi na corn flakes Binafsi napenda sana maziwa
Replies
8
Views
262
This thread is unique because it is dedicated wholeheartedly to making your coffee-drinking experience the absolute best it can be. Let's discuss why we love drinking coffee, favorite coffee drinks, reviews of various coffee machines and shops, great books and other resources about coffee, and...
Replies
23
Views
606
Kitimoto ni tamu sana,yani hakuna kitu kitamu zaidi ya kitimoto. Upate kikiwa na ndizi au ugali .
Replies
129
Views
2K
Wanakijiji wazima Nimewaza jinsi watu kutoka nje wanavyokuja kutembelea mbuga zetu za wanyama, kupanda mlima kilimanjaro nk nk. Hivi sisi watanzania muamko wetu upo vipi kwenye hizi mbuga zetu
Replies
42
Views
652
Wasalaam Wakati wife yuko pregnant alipenda kula sana mapapai. Hii ilimpelekea shida kwa sababu chupu chupu mimba itoke. Hakuna kati yetu aliyejua kuwa mapapai yanaweza kusababisha mimba kutoka yakizidi. Hivyo basi hapa kutakuwa na mchango wa mawazo mbali mbali juu ya vyakula salama kwa wamama...
Replies
13
Views
283
  • Poll
Kwa ushauri mzuri tu wa kidaktari je binadamu anatakiwa ale mara ngapi? Kumbuka unapo vote inabidi uje utete na jibu kwenye replies Let's go
Replies
29
Views
362
Wasalaam Binafsi mimi sipo kwenye kundi lolote bado. Ila ningependa kuwa kwenye kundi la vegetarians hapo baadae. Hapa tunatupia recipes za vegans au vegetarians ili tuwe na range kubwa ya vyakula. Vegetarians- Hawa hawatumii nyama wala samaki kwenye milo yao au bidhaa au vyakula vilivyopikwa...
Replies
45
Views
858
Top Bottom