Uzi wa Vegans and Vegeterians

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
Joined
Jun 4, 2023
Messages
8,338
Reaction score
31,698
Points
2,100
Wasalaam
Binafsi mimi sipo kwenye kundi lolote bado. Ila ningependa kuwa kwenye kundi la vegetarians hapo baadae. Hapa tunatupia recipes za vegans au vegetarians ili tuwe na range kubwa ya vyakula.

Vegetarians- Hawa hawatumii nyama wala samaki kwenye milo yao au bidhaa au vyakula vilivyopikwa na nyama.

Vegan - Hawa Hawali chochote kinachotoma kwa mnyama mfano maziwa au mayai

Karibuni. .
 
Last edited:

AlmightyGod

Active Villager
Joined
Jun 4, 2023
Messages
464
Reaction score
1,336
Points
1,900
sasa unakut mtu anampika mbuzi au kuku supu huo si uharibufu Wanatakiwa wakaangwe ila huu ni ukatili kwa wanyama I don't support
Hahahaaa kukaanga ni uharibifu wa afya sababu ukikaanga unakua umemuongezea mafuta tena na kujiingiza hasara kwa upotevu wa hayo mafuta..
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
Joined
Jun 4, 2023
Messages
8,338
Reaction score
31,698
Points
2,100
Hahahaaa kukaanga ni uharibifu wa afya sababu ukikaanga unakua umemuongezea mafuta tena na kujiingiza hasara kwa upotevu wa hayo mafuta..
dah mzee wa mchemsho 😀

back to the topic. Unajua Bible inakataza kula nyama before walikuwa wanakula majani tu
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
Joined
Jun 4, 2023
Messages
8,338
Reaction score
31,698
Points
2,100
Nyama walikua wanakula matajiri enzi hizo lkn sikumbuki kama kuna kifungu kwenye biblia kinakataza ulaji wa nyama..
In 1 Corinthians 8:13 Paul said, "Wherefore, if meat make my brother to offend, I will eat no flesh while the world standeth, lest I make my brother to offend." So for Paul vegetarianism was a way of not offending vegetarian hosts, but was not an explicit command of God.
 

Similar threads

Bwana Yesu Asifiwe? Tumsifu Yesu Kristo? Mwana kondoo ameshinda! Shalom shalom! Najua mko poa kabsaa, lengo la uzi huu ni kucomment somo ulilojifunza siku ya juma pili, kama hunapata shida kuandika unapost tu neno pekeake bila maelezo, hivyo yani kwanzia kesho natarajia mtatuma ili tujifunze...
Replies
21
Views
743
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya kuwatoa udenda au kuwatamanisha wana kijiji. Embe na Kichumvi kwa mbali😋😋
Replies
17
Views
724
Wanaume !! Kila mwenye jinsia ya kiume anaweza kuwa mwanaume, lakini sio wote wenye uwezo wa kuwa wanaume wanaostahili kuitwa wanaume. Je sifa za mwanaume ni hizi? Wanaume halisi ni sugu; hawapaswi kulia? Mwanaume hatakiwi kula chips mayai? Wanaume halisi hawakubali yeyote awaongoze? Wanaume ni...
Replies
44
Views
930
Oya weee leo tumention misemo iliyowahi kutamba sana mitaani Kula chuma hicho Apeche alolo Shega
Replies
48
Views
1K
  • Sticky
Wasalaam Huu uzi wa kipekee wa kutupia picha ya chakula unachokula. Sio lazima Updike wewe unaweza kuwa umenunua au umekipika. Ingependeza ukatupia picha ukiwa hujala na baada ya kula😀 NB: Usi upload picha ya chakula vinavyowekwa mtandaoni
Replies
663
Views
16K
Back
Top Bottom