Hii Ndo sababu Ziwa Natron lilioko Kaskazini mwa Tanzania kuonekana na "Rangi na Rangi ya Damu" (Nyekundu) Badala ya kuwa na maji meupe au blue

Hakimu

Immortal Hero
KF Founder
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,832
Reaction score
6,525
Points
2,100
Waswahili wanasema Tembea Uone!

Tanzania Hasa katika Mkoa wa Arusha Na Hasa katika Hifadhi ya Ngorongoro kuna Ziwa Natron ambalo Asili ya ziwa hilo Ni Nyekundu mpaka Kufikia huko Duniani watu kuliita ziwa Hilo Deadly Lake.

Kama unapanga kufanya utalii wa ndani Ngorongoro kwa kipindi hichi bhasi usisahau kwenda kwenye Ziwa Natron.

Ukaone maajabu ya Dunia..
Screenshot_20231216_113808_Chrome.jpg




Sasa Ziwa hilo limekuwaje na Rangi nyekundu Tofauti na Maziwa mengine au Sababu ni kama wasemavyo wazungu kuwa ni sehemu ya Kifo?
kwanza si ziwa zote Lina Rangi nyekundu Mwanzoni mwa ziwa huanza na Rangi ya kawaida ila mbele kidogo ndo huanza Rangi nyekundi..

Vifuatavyo ndo hufanya ziwakuonekana Jekundu au Rangi ya Damu..

  • Microorganisms: Kutokana na kujaa chumvi nyingi na maji kuwa na Alkali nyingi Hupelekea kuvutia wadudu wa kipekee wanaoweza kuishi na kustrugle kwenye mazingira hauo "extremophile microorganisms for salty and akali water" thriving.....hawa halophiles (viumbe wanaopenda Mazingira ya chumvi) na halobacteriae (Bacteria wa mazingira ya Chumvi) hutengeneza pigments, fulani aina ya carotenoids, ambayo ndo hufanya mazingira ya Ziwa kuwa Mekundu au orange..
  • Iron oxide: Maji yanapopungua sana, lle iron oxide-rich sediments ilioko chini huyaathiri Maji and further intensifying the red coloration.
NA kuhusu ukiyagusa maji badala ya kupata Rangi ya maji mikono inakuwa myeupe hapa chini..

Maji hayo yanapokuwa Yakievaporate , minerals kama sodium carbonate na trona (sodium sesquicarbonate) huwa zina precipitate, na kutengeneza White na grey pattern inayoonekana nuu ya Maji..
images.jpeg


lake_natron_6_dont_complain_travel.jpg



licha ya Ziwa hilo kuwa ni moja ya utalii kwa Macho pia kutokana na Predator wengi kushindwa kuishi huko bhasi hiyo imekuwa Ni Nyumbani kwa Aina ya Flamingo adimu zaidi duniani..

Wanaoitwa lesser flamingo (Phoeniconaias minor) ns ziwa hilo limefanikiwa kuwapa adptation ya Rangi ya pink..
images (1).jpeg
 
Fascinating. Nimeipenda hii mada. Kuna mengi ya kujifunza kuhusu nchi yetu
 

Similar threads

"If you don't like something, change it. If you can't change it, change your attitude. Don't complain." Wakuu mko gudi? Mmeshiba? Mna Amani? Leo nimekuja na hii kitu inaitwa KULALAMIKA. Mara nyingi watu walalamishi awajuagi wanatabia hii, kwahiyo kuwashauri ni ngumu maana ubishi ndio sifa yao...
Replies
6
Views
123
Kutenga muda kwa ajili ya kupumzika ni jambo jema na la ustawi kwenye maisha yetu. Kipaombele cha kujitunza kwa kupumzika mara kwa mara ni zawadi na msingi wa afya na furaha ya muda mrefu. Vilevile kutenga muda na kutengeneza matukio ya kupumzika huchangamsha hari, na kukupa amasa kutimiza...
Replies
17
Views
178
Nishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie...
Replies
4
Views
552
Pata Historia Fupi ya Marehemu Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli hiyo Msomaji: "Ifuatayo in historia fupi ya...
Replies
6
Views
525
Kanuni ya 50/30/20 ni kanuni inayo saidia watu wengi kufikia malengo yao ya kifedha, kwa kugawa pesa zao katika makundi matatu; Mahitaji ya muhimu, mahitaji yasiyo ya muhimu, na akiba.. Kanuni hii inaelekeza 50% ya fedha zako za mwezi unaiweka katika kundi la mahitaji ambayo ni ya lazima, kwa...
Replies
4
Views
452

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top