- Jul 3, 2023
- 1,917
- 4,066
- 2,100
Ugali wa mtama uwezi ila mbege unakunywa, we jamaa acha masiaraNakubali kuitwa mwanaume wa Dar. Siwezi kula ugali wa mtama au mihogo. Sembe inatosha![]()
Ugali wa mtama uwezi ila mbege unakunywa, we jamaa acha masiaraNakubali kuitwa mwanaume wa Dar. Siwezi kula ugali wa mtama au mihogo. Sembe inatosha![]()
Kwenye ugali na mboga dadaetyusahani zipi konde
hizo sio sahani ni vistuli vile vya plastikiKwenye ugali na mboga dadaetyu
Nadhani hawajawahi kula ndomaanayule mchaga mshamba gily anasema wanawake wanaokula huo ugal wanavigimbi
Haha sasa unakuta mtu anakula ugali wa muhogo na maparachichi au dagaa. Mbona sangara wapo kiafya zaidiyule mchaga mshamba gily anasema wanawake wanaokula huo ugal wanavigimbi
Unajua wakati naambiwa nina ulcers kina vyakula niliambiwa vinaumiza tumboAcha basiii, yani una maanisha ugali wa miogo unakimbilia miguuni
Njoo nakupeleka sehemu panaitwa "toroka uje" tukale ugali nyala choma ila sembeNadhani hawajawahi kula ndomaana
Sembe hapana my friend,, asa ugali wa sembe si bora tu nile wali nijue mojaNjoo nakupeleka sehemu panaitwa "toroka uje" tukale ugali nyala choma ila sembe![]()
hizo sio sahani ni vistuli vile vya plastiki
Unajua wakati naambiwa nina ulcers kina vyakula niliambiwa vinaumiza tumbo
Ushawahi kula ugali wa mtama![]()
Utakula wali kila siku? Kuna mda naona wali kama chakula cha watotoSembe hapana my friend,, asa ugali wa sembe si bora tu nile wali nijue moja![]()
Wakati ndo chakula chako pendwaUtakula wali kila siku? Kuna mda naona wali kama chakula cha watoto
Huyu kaka yako
Una kichaaHuyu kaka yako
Naona suruali imevimba ahsubhhi ahsubuhiUna kichaa
Upwiru, Leejay kanikimbiaNaona suruali imevimba ahsubhhi ahsubuhi
Upwiru wapi wakati nasikia wapiga nyeto ndo nakuwaga hivyoUpwiru, Leejay kanikimbia
shikilia kibarua hicho dogo acha mizaha
Mshahara wote anatumia kula hahahshikilia kibarua hicho dogo acha mizaha
Haha ushaanza majungushikilia kibarua hicho dogo acha mizaha
Aha hahaMshahara wote anatumia kula hahah
Mvua nyingi miogo michungu siku hiziHaha ushaanza majungutopiary mihogo tuione
We ndo mpishi umepeleka kwa boss ukaamua uselfie msosichakula cha ofisi hicho
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.