- Jun 4, 2023
- 8,616
- 35,323
- 2,100
Sijawahi kula kangaroo. Ila nyati ninekula sana kipindi nina ulafi wa nyamaUshakula nyati na kangaroo??jana nimekula kangaroo ni tamu kweli nyama laini
Nyama yake ukinywa lazima kuwe na glass ya juice pembeni
Sijawahi kula kangaroo. Ila nyati ninekula sana kipindi nina ulafi wa nyamaUshakula nyati na kangaroo??jana nimekula kangaroo ni tamu kweli nyama laini
Unataka kuniua mainiUkitaka kuondoa kitambi kunywa pombe kali
Kiu au??Sijawahi kula kangaroo. Ila nyati ninekula sana kipindi nina ulafi wa nyama
Nyama yake ukinywa lazima kuwe na glass ya juice pembeni
Aiseelee unapenda kitimoto utakua umenona![]()
Jamaa anakupenda muelewe basi tufanye partyAisee,, aliyekwambia kula ndo kunenepa nani
![]()
Kumbe nikajua mtu wa pwaniiiMuongo huyo..mi sio mtanga![]()
Sasa katkit ni wako??Halafu Katkit nimwache na nani![]()
ni ngumu, ushauri ni mwingi na utachanganyikiwa... ila mimi nimepoteza mda mwingi mitandaoni kufuatilia na nina uelewa kidogo, ila kama kweli unataka kukipunguza tumia mda mwingi kufuatilia hayo mambo ya mazoezi mtandaoni... mwanzo utaona kama kuna mambo mengi, ila ukishapata taarifa kutoka vyanzo fulani, kuna picha itajengeka kichwani kwako...mshamba_mkuu huko mbeya atakuwa anakula mdudu na chips kila week.
Ila ndugu zangu nataka niache kula nyama for a year. Ushahuri tafadhali hiki kitambi kitakuja nidhalilisha
Sasa mshamba imekula kwake??Unauliza majibu![]()
Wakishua wewe haya huwezi yajua .Chips jero kweli mzee??hivyo viazi na mafuta ya transformer
Ma sasa nipo huku manyara camp siku nitatembea hukoWakishua wewe haya huwezi yajua .
Nenda keko mtaa wa Magurumbasi pembezoni na gereza la keko kama waelekea bandarini utawakuta hakina mama wanapika na kuuza vichips vya jero wanapimia kwenye vikombe vidogo vya chai .
Vijana wa chuo cha DUCE wanaponea huko na chuo cha Uhasibu huko ndiyo wanapambana kutunza boom zao
Nawe mapenzi unatakiwa uwe na wawili moderator mkubwa yuleMbona anajua mda mrefu tu![]()
Shukrani san nitumie WhatsUp itanisaidia sanani ngumu, ushauri ni mwingi na utachanganyikiwa... ila mimi nimepoteza mda mwingi mitandaoni kufuatilia na nina uelewa kidogo, ila kama kweli unataka kukipunguza tumia mda mwingi kufuatilia hayo mambo ya mazoezi mtandaoni... mwanzo utaona kama kuna mambo mengi, ila ukishapata taarifa kutoka vyanzo fulani, kuna picha itajengeka kichwani kwako...
kuna hii article nzuri inanyoosha maelezo nakutumia watsapp
kunenepa kwenye zile sehemu stahikiAisee,, aliyekwambia kula ndo kunenepa nani
![]()
Haha hizo nimekula sana kipindi hicho. Ila aisee utoto raha zile chips zinakuwa tamu mnapanga foleniWakishua wewe haya huwezi yajua .
Nenda keko mtaa wa Magurumbasi pembezoni na gereza la keko kama waelekea bandarini utawakuta hakina mama wanapika na kuuza vichips vya jero wanapimia kwenye vikombe vidogo vya chai .
Vijana wa chuo cha DUCE wanaponea huko na chuo cha Uhasibu huko ndiyo wanapambana kutunza boom zao
Unajua unapokuwa vegetarian utaumwa ovyo ovyoShukrani san nitumie WhatsUp itanisaidia sana
Ila naamini nikipunguza kula nyama itanisaidia sana pia kupunguza uzito
Nataka kuwa vegetarian napata wakati mgumu sana
Sawa kabisa , wasalimie ila huko si wamburu na wairaki ?Se
Ma sasa nipo huku manyara camp siku nitatembea huko
Nimekula sana pilau za mia tano enzi hizoHaha hizo nimekula sana kipindi hicho. Ila aisee utoto raha zile chips zinakuwa tamu mnapanga foleni
Kweli mkuu au joking??Sawa kabisa , wasalimie ila huko si wamburu na wairaki ?
Tunza afya ndugu yangu ili mwakani tufanye vacation nje ya nchi maana nataka nimuombe raisi wetu hapa , tupange vacation ya mwisho wa mwaka kwa members wa mwanzo wa kijijiforums
Ni tamu sana .Haha hizo nimekula sana kipindi hicho. Ila aisee utoto raha zile chips zinakuwa tamu mnapanga foleni
Natamani iwe hivyo tujipange mapema hata kwa kidogo ikifika mwezi wa kumi na mbili tuna kibunda kizuri hata kwenda South iwe simple tukaweke kumbukumbu maana muda huu vijana mnawahi kufa kuliko sisiKweli mkuu au joking??
Neno kuntu daah kweli tunakufa sanaN
Natamani iwe hivyo tujipange mapema hata kwa kidogo ikifika mwezi wa kumi na mbili tuna kibunda kizuri hata kwenda South iwe simple tukaweke kumbukumbu maana muda huu vijana mnawahi kufa kuliko sisi
Unataka ukavute Skanka South na makaburiSawa kabisa , wasalimie ila huko si wamburu na wairaki ?
Tunza afya ndugu yangu ili mwakani tufanye vacation nje ya nchi maana nataka nimuombe raisi wetu hapa , tupange vacation ya mwisho wa mwaka kwa members wa mwanzo wa kijijiforums
Vitu vidogo vidogo kwenyw maisha vina ridhisha sana. Unakuta unaenda sehemu kula pweza ghafla umekula nusu ya mezaNi tamu sana .
Nilipata kufanya research moja na wahadhiri wa DUCE sasa kutokana kuwa nilikuwa ni mgeni kwenye sura za wanafunzi wa pale ikawa inabidi mimi ndiyo niingie mtaani kuchangamana na wasela nilienjoy maisha ya msela specifically wa chuo
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.