Je ushawahi kumsamehe mtu??

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

The great manenge

Expert Villager
Platinum Villager
Jul 8, 2023
1,319
2,993
2,100
Habari za mda huu.

Kuna njia nyingi sana za msamaha ambazo unaweza kumsamehe mtu
.
1.unaweza kumsamehe mtu ila kila mtu afuate hamsini zake/kila mtu afuate mambo yake.yani hapo utaki tena mawasiliano naye wala urafiki tena.kama ni mpenzi wako utaki tena muendeleo kwenye uhusiano naye utakuwa umemsamehe ila ndo tayari umeachana.

2.unaweza kumsamehe na kurudisha tena urafiki,mahusiano kati yenu hapo unasahau kila kutu kilichotokea kwenu unapiga moye konde na kuendelea na mahusiano,sema inahitaji uwe na moyo mgumu maana utakuwa kila ukimuona roho inauma na kukumbuka alichokufanyia.

Je msamaha upi ndo mnzuri??
 

Leejay

Miss KF
Platinum Villager
Jun 4, 2023
1,218
3,277
2,100
Ni mwepesi sana kusamehe,,ila kusahau ndo inakuaga changamoto....nina cousin wangu tulikuaga peace sana zamani, lakini saizi hadi kesho nahisi siwezi hata kuzungumza nae dakika moja,, nakumbuka alinitukana tusi Zito sana mbele ya watu tukiwa msibani nyumbani,, kipindi hicho niko form one, nilimsamehe na nimemsamehe ila mpaka leo sijawahi kuzungumza nae chochote zaidi ya salamu though hua anakuja nyumbani anaweza akaishi hata mwezi mzima na nisifeel uwepo wake yani...nimejitahidi sana kusema na nafsi yangu irudie kama zamani maana nlikua nampenda Sanaa ila ndo hivyo tena sijui hadi lini ntakuja nisahau lile tukio😭😭😭😭😭
 

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Jul 3, 2023
1,834
3,908
2,100
Ni mwepesi sana kusamehe,,ila kusahau ndo inakuaga changamoto....nina cousin wangu tulikuaga peace sana zamani, lakini saizi hadi kesho nahisi siwezi hata kuzungumza nae dakika moja,, nakumbuka alinitukana tusi Zito sana mbele ya watu tukiwa msibani nyumbani,, kipindi hicho niko form one, nilimsamehe na nimemsamehe ila mpaka leo sijawahi kuzungumza nae chochote zaidi ya salamu though hua anakuja nyumbani anaweza akaishi hata mwezi mzima na nisifeel uwepo wake yani...nimejitahidi sana kusema na nafsi yangu irudie kama zamani maana nlikua nampenda Sanaa ila ndo hivyo tena sijui hadi lini ntakuja nisahau lile tukio😭😭😭😭😭
Ukimsame na kumwachilia hauta amini kitakacho tokea
 

Similar threads

Kwema.... Hivi ulishawahi kwenda sehemu ambayo hujawahi kufika toka uzaliwe alafu ukajikuta mazingira unayajua vinzuri na hujawahi kufika??
Replies
8
Views
269
Recranation ni neno la kizungu lenye maana ya kuzaliwa upya kwa kiswahili. Kuzaliwa upya huku ni katika mwili mpya au katika mfumo mwingine wa maisha. Madai ya kuishi hapo kabla Kwa kipindi cha miaka 40, mtaalamu wa magonjwa ya akili Ian Stevenson, kutoka Chuo Kikuu cha Virginia, alirekodi...
Replies
19
Views
412
Hii ishawahi kukutokea uko na demu akakwambia hebu ingiza yote. Kuhamaki unaona mbona hapa mwisho! Unamwambia "baby mbona yote iko ndani" Dada wa watu anaanza kuzuga "aaah awwww uwiii unaniumiza" Ile anajiongeza kuifinyia kwa ndani ila inateleza teleza haifinyiki🤐 Utafanya uamuzi gani baada...
Replies
11
Views
221
Tajiri wa Nigeria, Aliko Dangote, sasa ndiye mtu wa pili kwa utajiri barani Afrika kulingana na orodha ya hivi punde ya Forbes . Dangote aliachwa nyuma ya bilionea wa Afrika Kusini Johann Rupert, ambaye ni mwenyekiti wa kampuni ya bidhaa za kifahari ya Uswizi Compagnie Financière Richemont...
Replies
6
Views
597
Hili swala nimemuuliza jana kijana mmoja kutoka mashahidi wa Yehova. Anadai mtu akifa hurudi katika usingizi wake kama ilivyokuwa hajazaliwa. Ila siku moja watu wataamshwa kutoka usingizini na kuhukumiwa. . Je wengi tunaamini kuwa kuna maisha baada ya kifo. Dini nyingi zinaamini kuna peponi na...
Replies
12
Views
293

Recommendation

See popular novels


Kijiji Q and A


Engage in smalltalk


Let's grow up


Greats moments ever

Top Bottom