Kijiji Q & A

This is general forums where people can ask questions and get answers on any topics. Ask specific questions and provide details of the problem.

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

  • Solved
Hi everyone, I come from a Christian country, thus a Christian background but an open mind. After studying Christianity from various angles I have found it to be quite misleading especially the history. If Christianity derived from Judaism wouldn't that make Judaism the true religion? After...
Answers
25
Views
986
The character names are Gabriel Edwards and Ava Foster, Stella. Any updates are highly appreciated
Answers
0
Views
372
Does any one have a link for this novel?
Answers
4
Views
320
Has anyone heard or read the novel Awakening of War God, I have read around 20 chapters and looking for more. If anyone has any information kindly share, you have my gratitude in advance🙏
Answers
3
Views
537
Where can i read the novel "life after prison "? Thanks
Answers
0
Views
242
kuna dawa ilikua maarufu sana kipindi niko primar.. Dawa yenyewe niile mabraza walikua wanapaka mkononi alafu wanamfata mdada wanae mtaka wanamshika paaaap! baada ya hapo uyo dada anamfata msela mpaka geto(sio mkongo) Hivi hiyo dawa mpaka leo ipo? 🤓🤔 Niko palee nasubiri majibu yenu, it's urgent...😀
Answers
12
Views
308
Is there anyone who can help with a novel An understated Dominance with 1400 and above chapters in English
Answers
23
Views
3K
  • Solved
Can someone please update me about "The invisible mercenary king" novel?
Answers
3
Views
344
Naomba mnisaidie kama kuna faida yoyote sisi kama wa Tanzania tunapata kupitia mahusiano yetu na Russia ... Ili swali limekuja baada ya kuona Mh. waziri mkuu Kassim Majaliwa ameudhuria kwenye mkutano huko Russia(The Russia Africa Summit 2023).. Pia nkajiuliza kuudhuria huko kwa mh. waziri mkuu...
Answers
5
Views
318
Moja kwa moja . Imefika stage sasa nataka niwe na account mbili za Wasap nitumie kwa malengo tofauti tofauti ,je nitumie mbinu ipi niwe nazo mbili katika simu moja kwa namba tofauti ? Wataaalamu naomba majibu maana sasa natumia wasap official ..
Answers
12
Views
491
Kumekuwa na tetesi kuwa kutajiri mtoto wa kiume katika umri mdogo humfanya awe na kibamia. Uchagani ilikuwa kijana lazima atimize umri wa kuoa kwanza ndipo anafanyiwa tohara. Wakati anafanyiwa jando mkewe mtarajiwa anakuwa chumba cha pili anasikiliza kama mumewe mtarajiwa atapiga kelele au...
Answers
12
Views
546
Watu wengine wanafikiri kwamba si lazima kuota kila siku. Wengine wanasema kwamba kuoga kila siku nyingine (au hata vipindi virefu) ni sawa. Nani yuko sahihi na ni nani anayenyonya tu? Tabia ya mtu ya kuoga hutegemea Mazoezi. Ikiwa tunafanya mazoezi kwa nguvu au kucheza michezo kila siku...
Answers
7
Views
306
Mambo zenu wadau humu ndani Kuna mwanamke nimekua nae kwenye mahusiano mwezi wa saba sasa. Naomba mnisaidie jinsi ya kiachana nae maana nmejaribu nimeshindwa
Answers
7
Views
177
Inasemekana kuwa chuma ulete ni aina ya uchawi ambao hutumiwa na Wanga au Wachawi kwa lengo la kupata faida ya pesa kutoka katika mauzo ya watu wengine. Uchawi huu ni maarufu sana karibu kila kona ambapo huwa na shughuli za kibiashara kwani hapo ndipo pesa inapopatikana kirahisi.
Answers
10
Views
168
Wanandoa kuna haja mke, au mume wako kujua unaingiza shingapi? Na kwa marafiki vipi kumwambia rafiki yako hela ngapi unaingiza ni sawa?
Answers
9
Views
174
Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa mwanaume wakati wa tendo la ndoa hujulikana kwa kitaalamu kama “Pre mature ejaculation.” Premature ejaculation (PE) hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake...
Answers
27
Views
387
Recently many people in the world have been inspired to name their children after famous (some not so famous) places. Would you consider naming your children after a country, city, town, district or a village?? Out there in the world, I like the name Paris for a girl and London for a boy. In...
Answers
63
Views
723
kila binadamu ana ndoto zake ndoto mojawapo ni kusafiri na kufika sehemu ambayo umewahi sikia uzuri wake au labda uajabu wa sehemu hio, Asikuambie mtu kuna ile feeling ile ya unaenda sehemu for the first time afu ulikua unapaota kumbuka enzi hizo ndo unaenda Dar, Arusha au kwa babe (ulikuwa...
Answers
9
Views
285
Wasalaam Kwa sisi ambao tumebahatika kuwa katika mahusiano na zaidi ya mara moja, tumekuwa na majina ya kuvutia kuhusu sehemu zetu za siri😬😄 My es x girlfriend alikuw na ziwa moja kubwa moja limepungua kidogo hivyo lile kubwa nililita Kibo na lile dogo mawenzi 😄 I once named my dick young G😄...
Answers
75
Views
712
Kutokana na umuhimu wa bank kwa matumizi mbalimbali leo ningependa ma expert wa humu kutoa nondo juu ya akaunti za bank na faida kwa mtumiaji wa namna fulani Unaruhusiwa kujadili bank yeyote ila mimi ningependa tuanze na hizo hapo juu Karibuni
Answers
11
Views
163
Je niumri gani sahihi kufanya maendeleo?
Answers
14
Views
226
  • Solved
Wasalaam Tabia gani ambayo uko nayo imekuwa faida kubwa kwako? Nianze binafsi sina tabia ya dhuluma na hii imekuwa fauda sana kwangu. Uaminifu ni mtaji tosha imepelekea biashara zangu kidumu kwa mda mrefu. Hata kuoata bidhaa kwa Mali kauli na kulipa pale ninapouza. Hichi ni kitu pekee...
Answers
47
Views
598
Wasalaaam Kumekuwa na ubishani mkubwa kati ya kujenga nyumba au kufanya biashara ipi ni bora zaidi. Je ukipata hela utachagua nini? kujenga au kufanya biashara?
Answers
29
Views
372
Mimi binafsi nikiwa sina ishu na nipo ndani ya muda hua napiga msosi ndio naswaki Ila nikiwa na haraka sana hua naswaki ndio nakunywa chai Wewe je? Ninavyojua wataalamu wanashauri tule ndio tuswaki ili tutoe uchafu wote.
Answers
24
Views
226
Top Bottom