Je njia zipi ni za asili au ziada kuzuia kumwaga mapema?

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
Joined
Jun 4, 2023
Messages
8,744
Reaction score
37,627
Points
2,100
Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa mwanaume wakati wa tendo la ndoa hujulikana kwa kitaalamu kama “Pre mature ejaculation.” Premature ejaculation (PE) hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

Hapa wanaume tiririka au funguka unatumia njia gani kuzuia kumwaga mapema. Kama Una ufahamu ama ushasikia njia zozote ambazo hutumika kusogeza mda unaweza kushea. .

Maoni Yangu
1. Kwanza nimesikia kuwa kumeza panadol za Kenya na kunywa chupa moja ya energy inasaidia. Naona ni hatari kutumia energy kisha kushiriki mapenzi kwa kuwa hufanya mapigo ya moyo yaende mbio na wakati huo sex hufanya hivyo pia
2. Pili nimesikia ukinywa K vant basi utatafuta sana bado kwa nguvu nyingi ingawa sina uhakika na hili

-Gily-
 
Sasa Mkuu uzi mzuri ngoja tusikie na wengine
Ila wewe hujataja unatumia njia gani?
Kuhusu hizo njia hapo ni kujiua na kuwa addictive tu

@Omo baba lowo
@mshamba_mkuu
@The great manenge
Na wengine wengi
Huwa nacheza na mawazo yangu. Huwa nikishtuka 'eh bwana eh kitu cha moto' hapo hapo namwaga. Hivyo mawazo yangu huwa nayapeleka mbali sana.

Wewe hizi mada za kikubwa hazikufai soma tu
 
Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa mwanaume wakati wa tendo la ndoa hujulikana kwa kitaalamu kama “Pre mature ejaculation.” Premature ejaculation (PE) hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

Hapa wanaume tiririka au funguka unatumia njia gani kuzuia kumwaga mapema. Kama Una ufahamu ama ushasikia njia zozote ambazo hutumika kusogeza mda unaweza kushea. .

Maoni Yangu
1. Kwanza nimesikia kuwa kumeza panadol za Kenya na kunywa chupa moja ya energy inasaidia. Naona ni hatari kutumia energy kisha kushiriki mapenzi kwa kuwa hufanya mapigo ya moyo yaende mbio na wakati huo sex hufanya hivyo pia
2. Pili nimesikia ukinywa K vant basi utatafuta sana bado kwa nguvu nyingi ingawa sina uhakika na hili

-Gily-
Fanya kegel exercises period!!

Case closed.
 
Huwa nacheza na mawazo yangu. Huwa nikishtuka 'eh bwana eh kitu cha moto' hapo hapo namwaga. Hivyo mawazo yangu huwa nayapeleka mbali sana.

Wewe hizi mada za kikubwa hazikufai soma tu
Nilitaka kuhoji na sie wanawake tuchangie 😂😂😂😂 na mie niliwahi sikia mnachezesha mawazo
 
Nilitaka kuhoji na sie wanawake tuchangie 😂😂😂😂 na mie niliwahi sikia mnachezesha mawazo
Humu ndani kila mtu anajifanya anakaa masaa mawili

Tena huyu @mshamba_mkuu anashindia mihogo asubuhi mchana jioni hawezi kuwa na nguvu kabisa huu uzi unamuhusu. Mtandaoni kila mtu ni shababi ila moyoni anasoma apate msaada. .
 
Humu ndani kila mtu anajifanya anakaa masaa mawili

Tena huyu @mshamba_mkuu anashindia mihogo asubuhi mchana jioni hawezi kuwa na nguvu kabisa huu uzi unamuhusu. Mtandaoni kila mtu ni shababi ila moyoni anasoma apate msaada. .
sijawahi kusema nakaa masaa mawili😂

mechi zangu nazijua mwenyewe😂
 
sijawahi kusema nakaa masaa mawili😂

mechi zangu nazijua mwenyewe😂
Unaikumbuka ile siku ulituaga mtandaoni humu kuwa una mechi kali baada ya 5 minutes ukarudi kuchat.

wewe ni aina ya watu wanaochat huku wanakula. Huwezi kaa mbali na mtandao kwanza uko active all the time 😁
 
Humu ndani kila mtu anajifanya anakaa masaa mawili

Tena huyu @mshamba_mkuu anashindia mihogo asubuhi mchana jioni hawezi kuwa na nguvu kabisa huu uzi unamuhusu. Mtandaoni kila mtu ni shababi ila moyoni anasoma apate msaada. .
Hahahahah wape msaada ila mambo haya president unayependa
 

Similar threads

Kuwa na kitambi ni lugha ya mwili ( body-language ) inayo leta ujumbe kwako kwamba mwili wako haupo salama tena. Kama una kitambi maana yake una mafuta yasiyo hitajika mwilini mwako. Hali hii kitabibu imaanisha kwamba, ogani nyinginezo zilizomo ndani ya mwili...
Replies
26
Views
403
Mapendekezo ya wafanyabiashara Kasi ya utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa na Wafanyabiashara kwa sababu kuna mambo mengi mazuri yanayoweza kustawisha biashara na sekta binafsi. Serikali inatakiwa kutochoka kukutana na wafanyabiashara mara kwa mara, kwa sababu wao ndio wanajua shida...
Replies
1
Views
221
Wana kijiji nilikuwa nauliza. Eti ipi ni njia yako ya kujiondolea stress au ku relax labda baada ya kazi nyingi au weeknd. ? In short anasa yako. Mimi 1.kusikiliza mziki. Napenda sana 😅 2.kulala 3.kuleta ugomvi. Hii one of a kind 4. Going for a walk. 5. Sex. sometimes 😎
Replies
30
Views
675
Upangaji Uzazi Kwa Waume Kupitia Njia Ya Upasuaji Ni Nini? Ni upasuaji wa mshipa unaopitisha mbegu za kiume, ili mme asiweze kumpachika mke mimba. Ni njia ya upangaji uzazi ya milele. Njia Hii Hufanya Kazi Vipi? Njia hii huzuia mbegu kutoka kwa makende na kuchanganyika na shahawa. Mbegu...
Replies
45
Views
591
  • Sticky
Ugonjwa wa fangasi (Candidiasis) husababishwa na vimelea vijulikanavyo kwa kitaalamu kama ‘Candida albicans’. Vimelea hivi hushambulia jinsia zote lakini hushambulia zaidi wanawake sababu ya maumbile yao ya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu kitu kinachopelekea wao kuathiriwa zaidi kuliko...
Replies
25
Views
532

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top