You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly. You should upgrade or use an alternative browser.
Chit-Chat
Members engage in small talk, fun gossips and discussion on unimportant matters.
Welcome to our community
Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Is it good to keep important secrets from the people u love according to Levi Garrison and Dustin
How do u see it members
Coz I want to try their skills
Habari zenu wakuu.....
Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa. Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa wowote, hakikisha unawahi hospital unapata tiba mapema kuepuka gharama za ziada.
Mungu ni wetu sote!
Wakuu kwema?
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, ni mtoto watatu katika familia ya watoto wa 5, mwaka huu namaliza chuo maswala ya misitu.
Baba yangu ni mstaafu alikua ni mwalimu wa chuo (lecturer) Chuo cha maendeleo ya jamii, mama yeye alikua anajishughulisha na mashirika ya kusaidia...
Wakuu kwema?
Binafsi yangu kuwaeleza watu kuhusu mipango yangu naona sio sawa maana watu niwajuaji sana wanaweza wakaanza kukushauri negatively au kukukatisha tama...
Wakuu kwema,
Naomba mumshauri kijana mwenzenu, yeye ni mke wa mtu, amesoma mpaka diploma(pharmacist) na mume wake amemfungulia duka la dawa.
Changamoto inakua yeye hana kauli ya biashara, yani anajitaidi kuchangamka lakini hawez, inapelekea wateja kumuama, na wengine wanamwambia kabsa awaji...
Yaani watu wako wa tofauti kwenye hii dunia, inakuwaje unamdalalia chajuu mtu wako wa karibu?
Unapata nguvu kabisa ya kumpiga cha juu mtu anaye kwamini? Mzazi ni mtu wa kumdalalia? Mke/mume ni mtu wa kumdalalia? Rafiki na ndugu ni watu wa kuwadalalia chajuu?
Kuna jamaa leo kanipigia simu...
Jambo Afrika!
Unapokuwa mwenyewe geto, nyumbani unafanya nini?
Wengi wanapenda kucheza mziki, wengine kusikiliza mziki, wengine kiwatch muvi, wengine kucheza game....
Wengine Wanapendelea kukaa uchi, wengine wanapenda kupika pika na kulala kula..
Wewe ukiwa alone unapendelea kifanya nn?
Je ni kweli Paka/nyau anayo roho saba?
Watu wengi wamekua wakisema kuwa paka wanaroho saba na hata kufa kwao nikwambine sanaa...
Umesha sikia kauli "unaroho ngumu kama ya paka"
Kuna siri gani kuhusiana na paka, maana nmeshasikia stori nyingi kama paka alizikwa akiwa hai baada ya mda akaonekana...
Heri ya mwaka mpya 2024 Villagers...
Nipo kitandani tangu juzi mwili umepata hitilafu za kiafya kidogo ndo nipo naupambania hapa, hopefully ntakuwa sawa ASAP!
Straight to the point, hii forum forum yetu bafo inajitafuta lakini binafsi mimi ishanitendea makuu mno 🤣🤣🤣. Sijawahi juta kuwa...
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo:
1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist
Jamaa ana calmness, man of action, genius na yupo very cold.
2. Tommy shelby - peaky blinders
Huu ni mwamba...
Wakuu mko gud? Mimi niko gudi kabisa na mshukuru muumba wa mbingu na nchi niko mzima, na nina furaha na amani, nmeshiba, na nina kama afu kumi na tatu za kenyA mfukoni😊
Najua mpaka hapa nitakua nimeshakwaambukiza ka furaha na ka amani kwa wote ambao hamko sawa😀
Kumekuwa na misemo ya hekima...
This is for those who are awake late at night and simply can't sleep but still want to chat without having to have skype or switch tabs on another site to chat!
You can talk about anything, make friends, and chitchat.
Wakuu nawasalimu mara tatu...
Ikitokea shetani amekufa leo utaacha kufanya dhambi?
Watu wengi wamekua wakimsingizia shetani kila kitu, ila ukweli ni kwamba hata shetani akifa leo bado kuna wakuu wataichukua ile nafasi ya shetani.
vp unahisi utakua mtu safi kama shetani atakufa au kuondolewa...
Habari na karibu ktk moja na mbili ya kuelimishana sisi kama mavijana.
Tabia zako zina athari kubwa mahali pesa zako zinakwenda.
Pesa haiwezi kamwe kuzidi mikononi mwa mtu mwenye tamaa ya kutumia hela tu.
Jifunze kuwa na ujuzi wa kifedha.
Usiwe na haraka ya kukimbia wakati haujajifunza...
Kukaa kwa ndugu changamoto sana, inafika steji wanatoa kila kitu kwenye chumba walichokukabidhi ukae 🤣🤣🤣🤣. Alhamdulillah saizi nalipa kodi, siku nikipata nanunua wine najipongeza, nikikosa nalala njaa, nipo kwangu no stress 🤸🤸🏾🤸🏾🤸🏾. Mungu wetu sote.
Wakuu mko poa, nawasalimu kwa upendo,,,
Hivi umewai kujiuliza kama dunia ingekua haina kurupushani ingekuwaje?
Yani kila kitu ni kamserereko, kila kitu ni chema, no pain, hakuna usaliti, hakuna kulia yani ni furaha tu, yani suala la uongo lisiwepo kabsa, wizi wizi huu na uonevu wote hamna...
Our task here
1.Tag anyone randamly and
2.Tagged members please say hi
I'll start with
Urban Edmund
Gedionkirui
Dahlia Rhys aka Empress Gabrielle
February girl
Dr santos
Niaje wakuu? Mnanisikia mpaka huko nyuma?🎤
Nauliza hivii unaweza kuishi saudi arabia kwa marufuku hizi au bora ubaki bongo ule bata na umeme wa mgao?
1 Matumizi ya pombe na dawa za kulevya ni marufuku kabisa,
Kuna katazo la utengenezaji, uuzaji, umiliki na unywaji wa pombe nchini Saudi...
Life reacts positively to "long term" plans and "short term" discipline.
Long term plan:- I am going to build a tech startup in 2024
Short term discipline:- I will skip Friday night hangouts to learn the basics of tech.
Both are necessary.
Dr tayo
Yani vijana humu mnacheza na president @Gily kama vile ni stick ya meno mdomoni
Full utani na mamods
Huko kwingine ni uadui tu
Hii ndio maana hasa ya Kijiji
Chezeni vizuri kuna meno 😁
All voice in the village matters
Wakuu kwema?
Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi..
Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua...
je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua...
Je! unajua kwamba unapokula nanasi,nanasi nalo hujaribu kukula wewe pia?
Nanasi ndio tunda pekee linalobeba bromelain, kimeng'enya chenye uwezo wa kuvunjavunja protini.
Kwakuwa mwili wako umetengenezwa kwa protini, vipande vya nanasi unalokula huwa vinajaribu kukumeng’enya nawewe, nakupelekea...
Weka maisha yako katika mtazamo sahihi.
Kila mmoja wetu ana kitu cha kuwa na furaha nacho: afya zetu, kazi zetu, biashara zetu, familia zetu, muujiza uliopita au fursa.
Usitengeneze kutokuwa na furaha, moyo wa shukrani ni moyo wa furaha na huvuta mambo mzuri mengi.
Furaha na kutokuwa na...
Juzi nlikua naelekea Namanga kwenye shughuli za hapa na pale, nlipanda noah maana ndio usafiri wa huku.
Sasa kilicho nishangaza nikwamba jamaa(dereva) kwanzia tumetoka Arusha hadi tunafika Namanga alikua ameweka wimbo mmoja yani hakuubadilisha.. mimi nmezoea nkipandaga nakuta ninyimbo za...
Wakuu ni fresh?
Nimeandika uzi huu kwasababu jamaa yangu anasumbuliwa sana na mke wake kisa tu ni mjamzito....
Kwa uchunguzi wangu mdogo nmeona kama raha ni chache kuliko mazala yanayo wapata watu katika kipindi hiki.
Wanaume wamekuwa wakipata usumbufu sana kutoka kwa wenza wao ikiwemo...
Niaje!
Kwanza nianze kwakusema siwabagui watu wenye vvu, kila mtu anaweza kuoa au kuolewa kama aki bahatika kupata mwenza.
1 kwa 1 kwenye mada 👇
Je unaweza kuoa au kuolewa na mtu aliye na VVU?
Kumekua na ongezeko la ndoa za mtu mmoja akiwa HIV+ na mwingine HIV-
Hii inatokana na elimu inayo...
Habari za mda huu.
Kuna njia nyingi sana za msamaha ambazo unaweza kumsamehe mtu
.
1.unaweza kumsamehe mtu ila kila mtu afuate hamsini zake/kila mtu afuate mambo yake.yani hapo utaki tena mawasiliano naye wala urafiki tena.kama ni mpenzi wako utaki tena muendeleo kwenye uhusiano naye utakuwa...
SIMULIZI FUPI ,,,LOVE STORY
Kijana mmoja alitokea kumpenda sana dada mmoja ijapokuwa dada huyo alikuwa akimtolea nje mara kwa mara lakini kijana hakukata tamaa, akiendelea kurusha ndoano huku akiamini siku moja atafanikiwa.Siku moja dada huyo akiwa yupo nyumbani aliamua kumpigia simu huyu kaka...
Okay leo haina haja ya kufichana kama wewe ni kikongwe/kibabu jitaje
Mimi nina miaka 19 na ni head of technical staff KF nalipwa na muheshimiwa Gily 2M monthly kuwapa raha wana KF
Je wewe hatutaki uongoo
Habari zenu..
Nikiwa kama president wa kijiji forum napenda kutoa yangu ya moyoni,kweli members wote mchango wenu unaonekana kwa uongozi wa juu wanafurahi kwa mchango wenu juu ya kijiji forum.
Jambo la msingi najua maisha yamekuwa magumu ila tujitahidi kuwa active humu kama mtapata mda angalau...
Wakuu niaje?
Leo nmezidishiwa chenchi na konda nimekuja kujua nlipofika nyumbani, imeniuma sana, sasa sijui hii hela ntaifanyia nini maana siwezi itumia kabsa....
uzi tayari
Hamjambo? Mimi sijambo 😃.
Wakuu nimekutana na mjadala asubuhi wakati naelekea katika shughuli za watu hizi...
Mjadala ulikua mzito, ndio mara ya kwanza kukutana na mjadala kila mtu anauchangia kwenye gari.. yaani walikua wanaushambulia haswaa..
Mjadala ulianza baada ya daladala nliyokua...
Niajee
Wakuu kusema la ukweli nilikua natamani sana kula ajira..
Juzi kati hapa (wiki 2) niliitwa na jamaa nilishawai kumfanyia kazi ya kujenga banda la kuku (la chuma), huyu jamaa kipindi namjengea banda nlimueleza kua natafta kazi na nimesomea nini.
Kweli yule jamaa amenitaftia mchongo ndio...
Moja kwa moja.
Nimeona clip na utani unasambaa kwa walimu wa Mathe(hesabu) hapa bongo kauli inayotrend kuhusu wao ni "Mwalimu wa Mathe hapa ni wapi ? ".
Kwa nini asiwe Mwalimu wa Kiswahili , geography ,physics ,civics , Chemistry nk. watu wawashambulie walimu wa Mathe pekee na kutoa taswira...
Wanakijiji habari .
Kuna matukio katika maisha yetu ya kila siku uwa yanachekesha hasa muda ukishapita uwa ukikaa mwenyewe unaishia kucheka kutokana na hali ya tukio lilivyo .
Njoo tukumbushane hayo matukio .
Binafsi nina matukio mengi ila ngoja nianze na haya yafuatayo .
Mosi , Nikiwa bado...
Habari ndugu zangu .
Nikiwa hapo ulipokuwa baada ya mimi kuja kufanya umbea wangu nilikuonea huruma sana mzee mwenzangu .
Mdomoni unaonekana mwamba ila sura na sauti vilinionesha kuwa unajuta ila hautaki kukubali .
Siku kadhaa ulizokaa kaka yangu umetoka umekongoroka kama sio wewe .
Aisee...
Nigudi ee? Niko gudi piaa.
Umeshawai kujiuliza familia ya baba mama na watoto inaweza kuishije ndani ya chumba kimoja?
Baba na mama huwa wanafanyaje mambo ya faragha katika chumba kimoja na watoto hata kama wamelala?
Hapo nimezungumza tu kuhusu family members bado vyombo, kitanda, makochi...
Swali la kizushi kwa wataalam wa kiswahili
Eti! Lugha sahihi ni ipi,
1. Popcorn/ bisi
2. Chapati
3. Chips
Hivi vitu "vinachomwa" au "vinakaangwa"
Mfano. Chapati inachomwa au inakaangwa?
Wakuu kwemaa?
Tatizo ni mwanamke kumzidi mume wake kipato au tatizo ni mwanamke kutaka kua mwanaume ndani ya nyumba?..
Nauliza hivo kwasababu wanawake wengi wenye cheo, pesa, umaarufu ndoa zao nyingi zinakuaga na chengachenga...
Naomba wanawake muwe wakweli je mnapenda kuwazidi waume zenu kipato?
Habari za mdaa huu
sasa toka week 2 zilizopita nimekuwa na share link ya kijiji forum sehemu mbalimbali zilipo accounts zangu poa Id yangu.
Ndo maana nimepigwa banned huko jamii .
Unajua ili kijiji iwe imechangamka yatupasa sisi member wote tuitangaze kijiji forum kila kona.
Kwa mfano kama...
Afya ni afya wote tutakufa .
Salama ndugu zangu , jana jioni sana nilikuwa natoka maeneo yangu ya kujidai , vijana wanasema wenyewe , ghafla bin vuu nakutana na mchungaji mmoja ambaye kwa muonekano ni kuwa hali ya maisha imempiga bado sadaka hazijaleta baraka .
Salamu nyingi na kunikaribisha...
This site uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.