Chit-Chat

Members engage in small talk, fun gossips and discussion on unimportant matters.

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Is it good to keep important secrets from the people u love according to Levi Garrison and Dustin How do u see it members Coz I want to try their skills
Replies
5
Views
194
Habari zenu wakuu..... Katkit hapa, baada ya kuugua kwa kipindi kirefu (almost 3 months) namshukuru sana Mungu nimepata nafuu sasa. Ugonjwa usikie kwa jirani aisee, usije ukadharau ugonjwa wowote, hakikisha unawahi hospital unapata tiba mapema kuepuka gharama za ziada. Mungu ni wetu sote!
Replies
14
Views
290
Wakuu kwema? Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 26, ni mtoto watatu katika familia ya watoto wa 5, mwaka huu namaliza chuo maswala ya misitu. Baba yangu ni mstaafu alikua ni mwalimu wa chuo (lecturer) Chuo cha maendeleo ya jamii, mama yeye alikua anajishughulisha na mashirika ya kusaidia...
Replies
15
Views
454
Wakuu kwema? Binafsi yangu kuwaeleza watu kuhusu mipango yangu naona sio sawa maana watu niwajuaji sana wanaweza wakaanza kukushauri negatively au kukukatisha tama...
Replies
13
Views
703
Wakuu kwema, Naomba mumshauri kijana mwenzenu, yeye ni mke wa mtu, amesoma mpaka diploma(pharmacist) na mume wake amemfungulia duka la dawa. Changamoto inakua yeye hana kauli ya biashara, yani anajitaidi kuchangamka lakini hawez, inapelekea wateja kumuama, na wengine wanamwambia kabsa awaji...
Replies
18
Views
580
Yaani watu wako wa tofauti kwenye hii dunia, inakuwaje unamdalalia chajuu mtu wako wa karibu? Unapata nguvu kabisa ya kumpiga cha juu mtu anaye kwamini? Mzazi ni mtu wa kumdalalia? Mke/mume ni mtu wa kumdalalia? Rafiki na ndugu ni watu wa kuwadalalia chajuu? Kuna jamaa leo kanipigia simu...
Replies
4
Views
324
Jambo Afrika! Unapokuwa mwenyewe geto, nyumbani unafanya nini? Wengi wanapenda kucheza mziki, wengine kusikiliza mziki, wengine kiwatch muvi, wengine kucheza game.... Wengine Wanapendelea kukaa uchi, wengine wanapenda kupika pika na kulala kula.. Wewe ukiwa alone unapendelea kifanya nn?
Replies
23
Views
708
Turn casual moments into unforgettable dates – choose the best casual dating site! Live Women Premier Сasual Dating Optimal Сasual Dating
Replies
1
Views
208
Je ni kweli Paka/nyau anayo roho saba? Watu wengi wamekua wakisema kuwa paka wanaroho saba na hata kufa kwao nikwambine sanaa... Umesha sikia kauli "unaroho ngumu kama ya paka" Kuna siri gani kuhusiana na paka, maana nmeshasikia stori nyingi kama paka alizikwa akiwa hai baada ya mda akaonekana...
Replies
20
Views
821
Heri ya mwaka mpya 2024 Villagers... Nipo kitandani tangu juzi mwili umepata hitilafu za kiafya kidogo ndo nipo naupambania hapa, hopefully ntakuwa sawa ASAP! Straight to the point, hii forum forum yetu bafo inajitafuta lakini binafsi mimi ishanitendea makuu mno 🤣🤣🤣. Sijawahi juta kuwa...
Replies
22
Views
657
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo: 1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist Jamaa ana calmness, man of action, genius na yupo very cold. 2. Tommy shelby - peaky blinders Huu ni mwamba...
Replies
7
Views
316
Wakuu mko gud? Mimi niko gudi kabisa na mshukuru muumba wa mbingu na nchi niko mzima, na nina furaha na amani, nmeshiba, na nina kama afu kumi na tatu za kenyA mfukoni😊 Najua mpaka hapa nitakua nimeshakwaambukiza ka furaha na ka amani kwa wote ambao hamko sawa😀 Kumekuwa na misemo ya hekima...
Replies
9
Views
400
This is for those who are awake late at night and simply can't sleep but still want to chat without having to have skype or switch tabs on another site to chat! You can talk about anything, make friends, and chitchat.
Replies
6
Views
402
Wakuu nawasalimu mara tatu... Ikitokea shetani amekufa leo utaacha kufanya dhambi? Watu wengi wamekua wakimsingizia shetani kila kitu, ila ukweli ni kwamba hata shetani akifa leo bado kuna wakuu wataichukua ile nafasi ya shetani. vp unahisi utakua mtu safi kama shetani atakufa au kuondolewa...
Replies
35
Views
722
Huyu mzee wao ni wao aka Watoto wa kidugala kapotelea wapi?
Replies
55
Views
524
Habari na karibu ktk moja na mbili ya kuelimishana sisi kama mavijana. Tabia zako zina athari kubwa mahali pesa zako zinakwenda. Pesa haiwezi kamwe kuzidi mikononi mwa mtu mwenye tamaa ya kutumia hela tu. Jifunze kuwa na ujuzi wa kifedha. Usiwe na haraka ya kukimbia wakati haujajifunza...
Replies
9
Views
317
Kukaa kwa ndugu changamoto sana, inafika steji wanatoa kila kitu kwenye chumba walichokukabidhi ukae 🤣🤣🤣🤣. Alhamdulillah saizi nalipa kodi, siku nikipata nanunua wine najipongeza, nikikosa nalala njaa, nipo kwangu no stress 🤸🤸🏾🤸🏾🤸🏾. Mungu wetu sote.
Replies
16
Views
280
Wakuu mko poa, nawasalimu kwa upendo,,, Hivi umewai kujiuliza kama dunia ingekua haina kurupushani ingekuwaje? Yani kila kitu ni kamserereko, kila kitu ni chema, no pain, hakuna usaliti, hakuna kulia yani ni furaha tu, yani suala la uongo lisiwepo kabsa, wizi wizi huu na uonevu wote hamna...
Replies
20
Views
432
Our task here 1.Tag anyone randamly and 2.Tagged members please say hi I'll start with Urban Edmund Gedionkirui Dahlia Rhys aka Empress Gabrielle February girl Dr santos
Replies
39
Views
961
Niaje wakuu? Mnanisikia mpaka huko nyuma?🎤 Nauliza hivii unaweza kuishi saudi arabia kwa marufuku hizi au bora ubaki bongo ule bata na umeme wa mgao? 1 Matumizi ya pombe na dawa za kulevya ni marufuku kabisa, Kuna katazo la utengenezaji, uuzaji, umiliki na unywaji wa pombe nchini Saudi...
Replies
11
Views
320
Life reacts positively to "long term" plans and "short term" discipline. Long term plan:- I am going to build a tech startup in 2024 Short term discipline:- I will skip Friday night hangouts to learn the basics of tech. Both are necessary. Dr tayo
Replies
13
Views
398
Yani vijana humu mnacheza na president @Gily kama vile ni stick ya meno mdomoni Full utani na mamods Huko kwingine ni uadui tu Hii ndio maana hasa ya Kijiji Chezeni vizuri kuna meno 😁 All voice in the village matters
Replies
54
Views
1K
Wakuu kwema? Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi.. Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua... je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua...
Replies
13
Views
232
Je! unajua kwamba unapokula nanasi,nanasi nalo hujaribu kukula wewe pia? Nanasi ndio tunda pekee linalobeba bromelain, kimeng'enya chenye uwezo wa kuvunjavunja protini. Kwakuwa mwili wako umetengenezwa kwa protini, vipande vya nanasi unalokula huwa vinajaribu kukumeng’enya nawewe, nakupelekea...
Replies
4
Views
288
Weka maisha yako katika mtazamo sahihi. Kila mmoja wetu ana kitu cha kuwa na furaha nacho: afya zetu, kazi zetu, biashara zetu, familia zetu, muujiza uliopita au fursa. Usitengeneze kutokuwa na furaha, moyo wa shukrani ni moyo wa furaha na huvuta mambo mzuri mengi. Furaha na kutokuwa na...
Replies
2
Views
259
Juzi nlikua naelekea Namanga kwenye shughuli za hapa na pale, nlipanda noah maana ndio usafiri wa huku. Sasa kilicho nishangaza nikwamba jamaa(dereva) kwanzia tumetoka Arusha hadi tunafika Namanga alikua ameweka wimbo mmoja yani hakuubadilisha.. mimi nmezoea nkipandaga nakuta ninyimbo za...
Replies
5
Views
383
wandugu,watathania mich u cho much
Replies
12
Views
520
Wakuu ni fresh? Nimeandika uzi huu kwasababu jamaa yangu anasumbuliwa sana na mke wake kisa tu ni mjamzito.... Kwa uchunguzi wangu mdogo nmeona kama raha ni chache kuliko mazala yanayo wapata watu katika kipindi hiki. Wanaume wamekuwa wakipata usumbufu sana kutoka kwa wenza wao ikiwemo...
Replies
11
Views
390
Niaje! Kwanza nianze kwakusema siwabagui watu wenye vvu, kila mtu anaweza kuoa au kuolewa kama aki bahatika kupata mwenza. 1 kwa 1 kwenye mada 👇 Je unaweza kuoa au kuolewa na mtu aliye na VVU? Kumekua na ongezeko la ndoa za mtu mmoja akiwa HIV+ na mwingine HIV- Hii inatokana na elimu inayo...
Replies
13
Views
379
Kama upo online mda Huu. share chochote na wenzako waliopo online hapa Kijiji forum.
Replies
21
Views
742
Habari za mda huu. Kuna njia nyingi sana za msamaha ambazo unaweza kumsamehe mtu . 1.unaweza kumsamehe mtu ila kila mtu afuate hamsini zake/kila mtu afuate mambo yake.yani hapo utaki tena mawasiliano naye wala urafiki tena.kama ni mpenzi wako utaki tena muendeleo kwenye uhusiano naye utakuwa...
Replies
17
Views
331
SIMULIZI FUPI ,,,LOVE STORY Kijana mmoja alitokea kumpenda sana dada mmoja ijapokuwa dada huyo alikuwa akimtolea nje mara kwa mara lakini kijana hakukata tamaa, akiendelea kurusha ndoano huku akiamini siku moja atafanikiwa.Siku moja dada huyo akiwa yupo nyumbani aliamua kumpigia simu huyu kaka...
Replies
13
Views
343
habari zenu ndugu zangu nilipoteza simu toka week iliyopita,nikawaza kijiji itaendeleaje bila president sasa nimerudi mtandaoni tena
Replies
8
Views
359
Okay leo haina haja ya kufichana kama wewe ni kikongwe/kibabu jitaje Mimi nina miaka 19 na ni head of technical staff KF nalipwa na muheshimiwa Gily 2M monthly kuwapa raha wana KF Je wewe hatutaki uongoo
Replies
121
Views
2K
Habari zenu.. Nikiwa kama president wa kijiji forum napenda kutoa yangu ya moyoni,kweli members wote mchango wenu unaonekana kwa uongozi wa juu wanafurahi kwa mchango wenu juu ya kijiji forum. Jambo la msingi najua maisha yamekuwa magumu ila tujitahidi kuwa active humu kama mtapata mda angalau...
Replies
8
Views
390
Wakuu niaje? Leo nmezidishiwa chenchi na konda nimekuja kujua nlipofika nyumbani, imeniuma sana, sasa sijui hii hela ntaifanyia nini maana siwezi itumia kabsa.... uzi tayari
Replies
7
Views
330
Hamjambo? Mimi sijambo 😃. Wakuu nimekutana na mjadala asubuhi wakati naelekea katika shughuli za watu hizi... Mjadala ulikua mzito, ndio mara ya kwanza kukutana na mjadala kila mtu anauchangia kwenye gari.. yaani walikua wanaushambulia haswaa.. Mjadala ulianza baada ya daladala nliyokua...
Replies
12
Views
356
Niajee Wakuu kusema la ukweli nilikua natamani sana kula ajira.. Juzi kati hapa (wiki 2) niliitwa na jamaa nilishawai kumfanyia kazi ya kujenga banda la kuku (la chuma), huyu jamaa kipindi namjengea banda nlimueleza kua natafta kazi na nimesomea nini. Kweli yule jamaa amenitaftia mchongo ndio...
Replies
18
Views
482
Huyu guest kanifurahisha sana aisee
Replies
61
Views
2K
Moja kwa moja. Nimeona clip na utani unasambaa kwa walimu wa Mathe(hesabu) hapa bongo kauli inayotrend kuhusu wao ni "Mwalimu wa Mathe hapa ni wapi ? ". Kwa nini asiwe Mwalimu wa Kiswahili , geography ,physics ,civics , Chemistry nk. watu wawashambulie walimu wa Mathe pekee na kutoa taswira...
Replies
10
Views
422
Wanakijiji habari . Kuna matukio katika maisha yetu ya kila siku uwa yanachekesha hasa muda ukishapita uwa ukikaa mwenyewe unaishia kucheka kutokana na hali ya tukio lilivyo . Njoo tukumbushane hayo matukio . Binafsi nina matukio mengi ila ngoja nianze na haya yafuatayo . Mosi , Nikiwa bado...
Replies
53
Views
789
Habari ndugu zangu . Nikiwa hapo ulipokuwa baada ya mimi kuja kufanya umbea wangu nilikuonea huruma sana mzee mwenzangu . Mdomoni unaonekana mwamba ila sura na sauti vilinionesha kuwa unajuta ila hautaki kukubali . Siku kadhaa ulizokaa kaka yangu umetoka umekongoroka kama sio wewe . Aisee...
Replies
15
Views
413
Nigudi ee? Niko gudi piaa. Umeshawai kujiuliza familia ya baba mama na watoto inaweza kuishije ndani ya chumba kimoja? Baba na mama huwa wanafanyaje mambo ya faragha katika chumba kimoja na watoto hata kama wamelala? Hapo nimezungumza tu kuhusu family members bado vyombo, kitanda, makochi...
Replies
14
Views
353
Swali la kizushi kwa wataalam wa kiswahili Eti! Lugha sahihi ni ipi, 1. Popcorn/ bisi 2. Chapati 3. Chips Hivi vitu "vinachomwa" au "vinakaangwa" Mfano. Chapati inachomwa au inakaangwa?
Replies
8
Views
323
Wakuu kwemaa? Tatizo ni mwanamke kumzidi mume wake kipato au tatizo ni mwanamke kutaka kua mwanaume ndani ya nyumba?.. Nauliza hivo kwasababu wanawake wengi wenye cheo, pesa, umaarufu ndoa zao nyingi zinakuaga na chengachenga... Naomba wanawake muwe wakweli je mnapenda kuwazidi waume zenu kipato?
Replies
18
Views
335
Habari za mdaa huu sasa toka week 2 zilizopita nimekuwa na share link ya kijiji forum sehemu mbalimbali zilipo accounts zangu poa Id yangu. Ndo maana nimepigwa banned huko jamii . Unajua ili kijiji iwe imechangamka yatupasa sisi member wote tuitangaze kijiji forum kila kona. Kwa mfano kama...
Replies
14
Views
552
Afya ni afya wote tutakufa . Salama ndugu zangu , jana jioni sana nilikuwa natoka maeneo yangu ya kujidai , vijana wanasema wenyewe , ghafla bin vuu nakutana na mchungaji mmoja ambaye kwa muonekano ni kuwa hali ya maisha imempiga bado sadaka hazijaleta baraka . Salamu nyingi na kunikaribisha...
Replies
8
Views
251
Top Bottom