Kijiji Off-topics

This is a forum of general posts that don't fit in any forums. Any serious subject not covered by the other forums and not prohibited.

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

  • Sticky
Just scroll to the bottom of the page click style chooser then click KijijiForums now you will see the magick
Replies
28
Views
544
  • Sticky
Karibuni kwenye chumba cha mapopo. Kwa wale ambao wanakesha au kukosa usingizi mida ya wanga huu huu uzi ni special kwa ajili Yetu. NB: Huu uzi ni special kwa ajili ya mida ya wanga sio mchana wala jioni. Kuanzia saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi🦉 Welcome you all
Replies
657
Views
9K
  • Sticky
Hello! Leo jukwaa limedorola sana inaonekana akikosekana Gily one day humu hakutakuwa na activities kabisa Jukwaa ni letu sote kabisa kama members wa mwanzo mnahusika kikamilifu ili baadae tujivunie jukwaa Hebu weka ushauri na mbinu ili tusije angukia pua tukarudi kule tunakofukuchwa kwa red...
Replies
34
Views
344
  • Sticky
WanaKijiji baada ya mihangaiko ya simu umechoka, huu ni uzi pekee ambao tutakuwa tunatoa mrejesho kwa maswaibu ya kila siku katika harakati za kutafuta maisha Leo bwana siku yangu haikuwa pouwa ni mambo ya ajabu mpaka nilitamani kugeuzia njiani ila Mungu alinishika mkono Karibu
Replies
12
Views
152
  • Sticky
Two things you'll then need to do: Open https://www.kijijiforums.com/webmanifest.php kisha refresh(this will make sure you don't have a cached manifest) Ondoa app na install tena (this might not actually be necessary if it picks up the new manifest from step 1 - but just in case!)
Replies
2
Views
272
Tofauti ya funzo tunalopata shuleni na lile tunalopata katika maisha; Kwanza kabisa nikusalimu wewe mpendwa wa kf ni muda sasa tangu tumeonana(kupitia madandiko), nikushukuru pia in advance kwa kunisamehe kwa mwandiko wangu, bado nadhidi kuimarika, moja kwa zote kwenye madaaa Katika maisha...
Replies
12
Views
224
Shirika la Exit International la Marekani limezindua mashine maalumu la kujiua iitwalo ‘Sarco Pod’ ambayo inafanya mtumiaji afurahi na kuchanganyikiwa kwa wakati mmoja kabla ya kuaga Dunia, pia mashine hiyo haisababishi maumivu wakati mtumiaji anapotaka kujiua. Kabla ya kujiua mashine hiyo...
Replies
3
Views
447
Maisha ni safari ya kusisimua inayojaa changamoto, furaha, na mafunzo. Kila hatua inafungua milango mipya ya uzoefu, na kila siku ni fursa mpya ya kuchora njia yetu. Kuanzia Mwanzo Tunapoanza safari ya maisha, tunaletwa ulimwenguni kama kurasa tupu za kitabu. Kila tukio, kila uhusiano, na kila...
Replies
2
Views
401
We are thankful that a few months ago KijijiForums was established as TanTalk, We are going to finish the year together we had many goals but today we are together As friends and brothers, especially those who went through difficult paths together in ideas and developing the platform As one of...
Replies
65
Views
1K
Ushawahi pata hisia za kutaka kutembelea sehemu au nyumba ambayo uliishi utotoni? Una kumbukumbu za kutosha kuhusu nyumba nyumba hii au sehemu ambayo umekulia? Karibu tukumbushane maisha ya utotoni na makuzi tuliyokulia hapa. Binafsi: Nimekulia Kinondoni B. Nilikuwa naona sifa sana kujiita...
Replies
29
Views
479
Let's gift each other
Replies
34
Views
479
Mark Zuckerberg ambaye amenaza ujenzi (a mega project) wa nyumba au makazi ya ardhini a.k.a maandaki maalum (underground bunkers) kwa ajili ya kujikinga na madhara pamoja na uaribifu mkubwa hata ule unaweza kusababishwa na silaha za maangamizi za nyuklia. Ujenzi wa mabangaloo hayo yalio ardhini...
Replies
4
Views
139
  • Poll
Many people confess feeling bad after masturbation session so my question is, is masturbation wrong?
Replies
28
Views
633
Wadau maisha magumu sana alafu hayako fear kabisa my plans are not completed na bado jau sana yani kero Moja ninahamu sana kuhama home kozi sasa too much kuonana poa Kupata kazi Hebu sema na wewe nini ambacho hakijakamilika mwaka huu na mwaka ndo unaisha
Replies
8
Views
277
Wagwaan wanakijiji wenzangu, Imekuwa muda mrefu sana tangu nionekane kwa mara ya mwisho humu, I hope you'all doing great as I am. Niliwamiss sana wanangu Gily Hakimu dronedrake na wengine wote ambao tulipata wasaa wa kujumuika pamoja kijijini and the special & the only one in my heart my...
Replies
14
Views
470
Have you never read this novel? Okay get in touch and discuss here
Replies
0
Views
273
  • Poll
Lets say you find out your chikd isn't yours, would you still raise him/her? NOTE: This excludes voluntarily getting involved witsinglele moms etc. So yeah, more a question in regards to paternity fraud.
Replies
10
Views
313
Please let's know any advice or suggestions on subject.
Replies
2
Views
317
We started Kijiji with a purpose to build stronger and more homelike environment. All who care about making Kijiji more thriving, vibrant, and interesting are welcome. We hope to gather people of many ages and perspectives, including those connected to business, governments, community groups...
Replies
27
Views
814
Habari za muda huu all villagers. Kutokana ukuaji wa matumizi ya simu za mkononi na uwanda wake mpana wa matumizi mbalimbali applications mbalimbali zimetengenezwa kurahisisha mambo .Mimi hata nipoteze au ninunue simu mpya hizi ndizo orodha ya apps zangu ambazo haziwezi kukosa. 1.Whatsap ...
Replies
8
Views
561
Wadau maisha ya nyumbani magumu nataka ni hamie kwangu bado sina kazi ila najitafuta nitapata ili mwezi wa 10 niingie evening shift huku natafuta pesa zangu Kwanza sipendi kupangiwa chakula (silagi nyama na sipendelei mboga za majani) Nataka nilale kwangu pumzi itaingia vizuri nipike...
Replies
56
Views
888
Habari 👋👋👋 Kama ilivyo ada Mimi shujaaa wenu nimekuja na jambo, naomba tujadili wote sisi Wana KF Je unaweza jifunza tabia mpya mfano Kuwa mkimya, kuachana na kuwaza/kutamani mapenzi, kunywa bia, kuacha ulevi, kupendeza hata kuwa MTU wa comedy Ikiwa sio hurka yako je? Utaweza jifunza na...
Replies
19
Views
670
Wakuu msiseme sikuwaambia masnichi wapo wengi kwenye maisha hata humu KF wapo, Wanatuchora tu tushindwe ili wacheke Nasemaje nasemajeeeeeeeee Mpaka kieleweke
Replies
7
Views
146
Habari leo tumekuja na muonekano bomba zaidi na upo morden zaidi toa maoni yako pia old look inapatikana bonyeza choose style at the bottom na uchague
Replies
21
Views
449
Hellow! Leo tuzungumze kitu gani kinakuweka very happy kufanya Binafsi i love coding hasa backend na Databases hua najisikia raha sometimes mpaka nasahau kuwa natakiwa kusoma masomo ya darasani, hasa ninapo learn new language or concepts (hua nafuatilia pia how others do) ili kujifunza easy...
Replies
19
Views
393
Starting a business is a daring endeavor that demands unwavering determination, creative problem-solving, and a continuous quest for knowledge. While the startup world may seem worlds apart from the field of science, this is definitely not the case. In the early startup stages, you as a startup...
Replies
15
Views
209
Umwa sana Hitaji pesa Anzisha biashara/shughuli yenye kuwahitaji sana Oya wakuu hii ni quote tu marafiki wapo na wanafiki wapo watakupenda kwa namna flani ila baada ya muda hawako na wewe Tupambane together tuijenge KF as members
Replies
11
Views
267
wadauni hatari tuendelee kupambana tu tutafika siku sio nyigi ishalllah
Replies
7
Views
249
Habari, Leo kwa mbali mtaa ninaoishi nilisikia speaker wakisema kutakua na mnada ila sikutilia maanani, Baada ya masaa mawili nadhani ndio mnada wenyewe ukawa unafanyika kuuza vitu vya huyo mtu baada ya kushindwa kulipa deni la bank, Nimekaa nimetafakari sana nikabaki na maswali , hivi ukiwa...
Replies
43
Views
401
MIMI ni nani? ili swali Yesu alilijibu vizuri, 👇👇 Mimi ni Mkate wa Uzima, Mimi ni Neno la Uzima; Mimi ndimi Roho wa Kweli; Mimi ni Uzima; Mimi ni Mchungaji Mwema, Mimi ni nuru ya ulimwengu, Mimi ndio njia kweli na uzima.. Je mwenzangu wewe ni nani? kumbuka wewe sio jina lako, muenekano, wala...
Replies
18
Views
336
Rank Country Traffic index Time index (in minutes) 1. Nigeria 310.6 62.8 2. Kenya 242.1 51.6 3. Egypt 231.8 48.5 4. South Africa 189.3 39.0 5. Morocco 137.1 37.0
Replies
2
Views
89
WanaKijijj Msione kimya nipo bize kidogo, ila kwa mwendo wa raisi wetu wa sasa The great manenge najua nikitulia na kusettle humu nitakuwa mgeni maana vitu vutakuwa vishabadilika, nisi kuchoshe tusichoshane have a good day
Replies
14
Views
233
Iwapo utabiri wa muda mrefu wa wanasayansi kwamba Afrika itagawanyika mara mbili utafikiwa, Tanzania, nchi yenye ukubwa wa kilomita za mraba 947, 300, inaweza kugawanywa na kuunganishwa na mataifa mengine kuanzisha bara jipya. Tanzania inaweza kugawanywa katika sehemu mbili, kila nusu ikiwa ya...
Replies
5
Views
192
Niende moja kwa moja kwenye mada, Hivi sisi watanzania huduma kwa wateja tunachukuliaje? Hii elimu tunapaswa tukapewe wapi? Ukienda hospitali za binafsi na serikali huduma mbovu, ukienda ofisi za serikali kule ndio lazima ujute kabisa, Ukija kwa ndugu zetu huku mtaani ndio utajuta kabisa Kuna...
Replies
28
Views
359
Wakuu napenda sana magari, na nazani nikipata kibunda ntaanza na gari nyumba baadae, Mwanzo nlikua napenda sana Forester Subaru kwasababu masela wengi nlio kua nao wanayo kwahyo nisha yapanda sanaa, na kuendesha kidogo... Ila kwa sasa gari iliyoko kichwani kwangu ni VW Touareg ya 2011...
Replies
12
Views
224
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.... Kama title inavyosomeka hapo juu, hebu tueleze kipindi una miaka 10 uliweza kufanya kazi za nyumbni au ndo ulikuwa bado unashikiwa fimbo kwenye kula? Binafsi katika umri huo nilikuwa tayari nimeshafundishwa kazi zote za nyumbani na Bi. Mkubwa, nilikuwa...
Replies
26
Views
371
English Version Join the mission and have your name engraved on NASA’s Europa Clipper spacecraft as it travels 1.8 billion miles to explore Europa, an ocean world that may support life. Swahili Version Jiunge na misheni na jina lako liandikwe kwenye chombo cha anga cha juu cha NASA cha...
Replies
12
Views
193
Uvivu ni hasara Uvivu ni umasikini Uvivu ni utumwa Tujishughulishe katika kupambania ndoto, mvivu husema kwani si tutakufa tutaviacha, je watoto wako waishi kama wewe Oya hii ni motivation zamani nilikuwa mvivu sana ila now nachapa sana kazi
Replies
37
Views
803
Wakati mwingine Kushindwa ni nzuri. Ikiwa umeshindwa kwenye mtihani wako. Ikiwa umefeli mishe zako. Ikiwa hukufikia lengo lako. Ikiwa umeshindwa katika maisha yako ya mapenzi,.. Kushindwa sio mwisho wa maisha kwahvyo usiwaze, cha muhimu ni kuto kata tamaa... Kuna wakati tunafeli tunalaumu ila...
Replies
11
Views
121
Leo bwana nilikua busy from morning mpaka nakuja kushtuka ninywe chai saa 6 na 30 na hapo nakipindi saa 7 ikabidi nichague moja niache moja from home to chuo kwa muda huu wa mchana ni less than an hour Ikabidi niache chai ni wai chuo nikapanda road kusubiri bajaji kweli ikaja nauli buku hapo...
Replies
19
Views
305
Natumaini wote wazima... @imeandikwa na the-great-manenge.. Tanzania ilipata uhuru 9 disemba 1961Ni miaka mingi sana imepita,tumeshuhudia taifa letu limepitia hatua mbalimbali za ukuaji wake,baba aliniambia miaka ya 70 mpaka 80s vijana walikuwa wanatabia nzuri sana,mtoto alikuwa sio wakwako...
Replies
13
Views
182
Kipindi najiandaa kulala hapa Nikafikiria baadhi ya nadharia za usiku, ila kabla ya yote nikajiuliza kwa nini siwezi kulala bila kusali, jibu tu nimuoga natafuta kisingizio Nadharia kama tukilala roho zetu hutoka na kwenda kwa Muumba kisha hurudi, swali tukikesha je? Mbona simu inavyoita...
Replies
5
Views
151
Waungwana leo ningependa kutoa maoni ya kile ninachowazaga mda ninapokuwa free, japo sikuwa na time leo ila nitaweka facts kidogo Unajua Maisha yetu ndio Nature yenyewe, ok namaanisha Nature ndio maisha na kipindi Mungu anaumba aliweka vitu viwili viwili yaani chochote lazima viwe inform of...
Replies
5
Views
82
Maisha ni safari kama wahenga walivyosema, leo nataka tujadili jambo je sisi ndio tunapanga au maisha yanatupangia Maisha yanaweza kuwa ni nature, umepanga uende kanisani unaamka umechoka Unafanya kazi kwa bidiii na bado hufanikiwi, kipindi unapanga mambo yako na maisha pia yanakupangia baya...
Replies
1
Views
56
Amani iwe nanyi wanakijiji Kwenye cheti cha kifo sababu ya kifo haundikwa, kama malaria, kujiua nk Je umewahi kuona cheti cha kifo cha ndugu , jamaa au rafiki? Kuna cheti niliona sababu ya kifo ikawa kutoa mimba na hiiilinipa kutafakari maisha ya dunia kwa mara ya pili. Kwa imani yangu...
Replies
14
Views
214
Mambo tunayochukulia kawaida ila yanamdhara... 1) Utumiajiwa vidonge vya kuzuia mimba p2/morning pills, sio kwajili ya uzazi wa mpango bali ni kwa dharura tu,, Inashauriwa usitumie zaidi ya mara mbili kwa mwaka... 2) Kusikiliza muziki sauti ya juu kupitia, earphones au headphones kila...
Replies
47
Views
596
Katika moja na mbili Jumamosi usiku mwingi sana chimbo flani la walesa mavi, kula vombo kula vombo kula vombo mpaka natambaa, kudadeki wasela mavi wakasepa na kisimu changu cha kutambia mjini pumbavu zao. Nililia kisenge! Silewi tena.
Replies
95
Views
1K
Bwana weee nakukumbuka enzi za utoto wangu shoti za umeme hazijawahi niacha salama Nilipenda sana kutengeneza taaa, redio mota n.k Nilishawahi kufuga samaki wa urembo kwenye dumu one day nikapata wazo kuwa inabidi niwatengenezee taa ili na wao usiku wapate kuona Nilitafuta vifaa battery ya...
Replies
6
Views
102
Baadhi ya watoto hawakujua kwamba maisha yao yalikuwa "hatarini" katika mji wa Suffolk nchini Uingereza kutokana na kuwepo kwa 'hemlock' kwenye njia yao ya kawaida ya kwenda shuleni, mmea wenye sumu ambao unaweza kumuua mtu ikiwa ataumeza. Hata hivyo, hemlock sio mmea pekee unaohatarisha maisha...
Replies
10
Views
142
Hili ndio jukwaa ambalo tunajua maana ya changes, chances, uhuru na haki ya kupinga Tunaahidi kutoa huduma bora zisizo kuwa na kashikashi/mizengwe yeyote Maoni ya watumiaji wetu ni muswada imara kwetu Nachukua nafasi hii kuomba members wetu wa faida kualika watu ili tujaze hii forum, kupost...
Replies
12
Views
218
The 2023 List: Facts and Figures Inside Forbes' 37th-annual billionaires ranking. Read more here https://www.forbes.com/real-time-billionaires/#4b94dd263d78
Replies
34
Views
544
Serikali ya Zanzibar imesema ni kosa kisheria mwanaume kuingia au kuishi viziwani Zanzibar akiwa amesuka nywele. ''Kwa mujibu wa sheria zetu ukikutwa utatozwa faini ya milioni moja za kitanzania ambayo ni zaidi ya dola 400 za kimarekani au kufungwa jela miezi sita au adhabu zote kwa pamoja,”...
Replies
10
Views
238
Top Bottom