- Jul 3, 2023
- 1,915
- 4,061
- 2,100
Tofauti ya funzo tunalopata shuleni na lile tunalopata katika maisha;
Kwanza kabisa nikusalimu wewe mpendwa wa kf ni muda sasa tangu tumeonana(kupitia madandiko), nikushukuru pia in advance kwa kunisamehe kwa mwandiko wangu, bado nadhidi kuimarika, moja kwa zote kwenye madaaa
Katika maisha kumekua na vyanzo vingi vya mafunzo ila mimi leo nmekuja kuwaletea baadhi ya tofauti kati ya mafunzo kutoka katika maisha na shule..
Shuleni tunapewa mafunzo kwanza alafu baada ya kuwa na ufahamu unapewa Jaribio/mtihani.. which iz gud kwasababu unakuwa na uelewa na uzoefu wa jambo hilo.
Mara nyingi wanao faulu hapa ni wale wenye jitiada na uwezo wakukumbuka yale waliyo fundishwa na kuyatapika kama majibu....
Kwenye maisha ni tofauti sana na shuleni kwani huku unakutana na jaribu/mitihani au changamoto kisha kupitia hiyo misukosuko ndio unajifunza kitu..
Mara nyingi masomo tunayo jifunza kutoka katika changamoto za maisha ni masomo makubwa na yenye manufaa katika maisha yetu yote, ni mafunzo ambayo yanabadilisha kabsa mtazamo na hata namna tunavo yachukulia mambo...
Kwa kifupi mafunzo tunayopata kutoka katika changamoto na mitihani ya maisha ni haya (sio yote)
1)Nani rafiki wa kweli nani tapeli, 2)nani wakumweleza mambo yangu nani nimfiche, 3)matumizi yapi ya hela ni sahihi yapi si sahihi, 4)mambo gani yanafaa kutumia muda wangu na mambo yapi yasiyo paswa kuchukua hata sekunde ya muda wangu,
4)starehe ipi inafaa hipi haifai, 5)maneno yapi ya kuongea yapi ya kukaushia, 6)chakula gani nile na chakula gani nisile, 7)tukio gani niudhurie tukio gani nisiudhurie 8) kitu gani niangalie, na nisikilize dhidi ya kitugani sipaswi kuangalia wala kusikiliza
9) niwe mtoaji au mpokeaji 10) niwe hasi au chanya katika kushauri watu 11) niwe na chuki au nisambaze upendo..
Hayo ni baadhi tu ya mambo unayoweza kujifunza kupitia maisha...
Jambo la mwisho unalopaswa kulijua ni hili sio lazima upitie changamoto ndio upate kujifunza kupitia changamoto hizo, bali unaweza kujifunza kupitia watu wanao kuzunguka wanaopitia changamoto..
Kwa maneno mengine ni kwamba usisubiri yakukute ndio uanze kujifunza nooo jifunze kwa watu, waangalie watu kwa makini utajifunza kitu, soma vitabu vyao utajifunza kitu nk...
Mwenzako akiwa ananyolewa zako tia MAJI
Asante wana kijiji kwa kusoma bandiko hili, nakutakia siku njema...
Kwanza kabisa nikusalimu wewe mpendwa wa kf ni muda sasa tangu tumeonana(kupitia madandiko), nikushukuru pia in advance kwa kunisamehe kwa mwandiko wangu, bado nadhidi kuimarika, moja kwa zote kwenye madaaa
Katika maisha kumekua na vyanzo vingi vya mafunzo ila mimi leo nmekuja kuwaletea baadhi ya tofauti kati ya mafunzo kutoka katika maisha na shule..
Shuleni tunapewa mafunzo kwanza alafu baada ya kuwa na ufahamu unapewa Jaribio/mtihani.. which iz gud kwasababu unakuwa na uelewa na uzoefu wa jambo hilo.
Mara nyingi wanao faulu hapa ni wale wenye jitiada na uwezo wakukumbuka yale waliyo fundishwa na kuyatapika kama majibu....
Kwenye maisha ni tofauti sana na shuleni kwani huku unakutana na jaribu/mitihani au changamoto kisha kupitia hiyo misukosuko ndio unajifunza kitu..
Mara nyingi masomo tunayo jifunza kutoka katika changamoto za maisha ni masomo makubwa na yenye manufaa katika maisha yetu yote, ni mafunzo ambayo yanabadilisha kabsa mtazamo na hata namna tunavo yachukulia mambo...
Kwa kifupi mafunzo tunayopata kutoka katika changamoto na mitihani ya maisha ni haya (sio yote)
1)Nani rafiki wa kweli nani tapeli, 2)nani wakumweleza mambo yangu nani nimfiche, 3)matumizi yapi ya hela ni sahihi yapi si sahihi, 4)mambo gani yanafaa kutumia muda wangu na mambo yapi yasiyo paswa kuchukua hata sekunde ya muda wangu,
4)starehe ipi inafaa hipi haifai, 5)maneno yapi ya kuongea yapi ya kukaushia, 6)chakula gani nile na chakula gani nisile, 7)tukio gani niudhurie tukio gani nisiudhurie 8) kitu gani niangalie, na nisikilize dhidi ya kitugani sipaswi kuangalia wala kusikiliza
9) niwe mtoaji au mpokeaji 10) niwe hasi au chanya katika kushauri watu 11) niwe na chuki au nisambaze upendo..
Hayo ni baadhi tu ya mambo unayoweza kujifunza kupitia maisha...
Jambo la mwisho unalopaswa kulijua ni hili sio lazima upitie changamoto ndio upate kujifunza kupitia changamoto hizo, bali unaweza kujifunza kupitia watu wanao kuzunguka wanaopitia changamoto..
Kwa maneno mengine ni kwamba usisubiri yakukute ndio uanze kujifunza nooo jifunze kwa watu, waangalie watu kwa makini utajifunza kitu, soma vitabu vyao utajifunza kitu nk...
Mwenzako akiwa ananyolewa zako tia MAJI
Asante wana kijiji kwa kusoma bandiko hili, nakutakia siku njema...