Miss Alpellah
New Villager
- Jun 4, 2023
- 1
- 5
- 300
Sikunikija ni attack ficha mabinti wote, huo ugali nitakuja na paka wangu @mshamba_mkuu anisaidie
hapa unakula mpaka vidole
Hivi unajua kuwa sisi twala makabichidah nilimiss sana nyama siku mbili hivi tumbo lilinguruma sana kwa kukosa nyamaView attachment 141View attachment 140
Ukipiga na dona mbona show sakantupele tupeleNimehonga hela ya nyama leo kesho naamka na kabichiView attachment 142
Kesho naanza kuishi ka mbuziUkipiga na dona mbona show sakantupele tupele
Unapenda nyama au unazizi tumboniKesho naanza kuishi ka mbuzi
utumbo wangu haupendi majani nitapata shida
Hahahhaha utapasuliwandio naamka hivyo jana nilivimbiwa sana
NiajeHahahhaha utapasuliwa
wivu tu nakula kidhungu tatizo anakula chakula anachokula mbuzi wakati nakula mbuziNiaje
Kama kawaNiaje
mwanaume wa dardah nilimiss sana nyama siku mbili hivi tumbo lilinguruma sana kwa kukosa nyamaView attachment 141View attachment 140
Utani wa ngumimwanaume wa dar
shauri yake kitambi kinamnyemeleaUtani wa ngumi
Anatumbo kubwa kama Babu side alikua swahiba wake kipindi kana soma makongo na alipenda kula jolo la mama kipingu hatarishauri yake kitambi kinamnyemelea
kimnyemeleee mara ngapi,, ana kitambi kikubwa tuushauri yake kitambi kinamnyemelea
tumuache kijana asije akaliakimnyemeleee mara ngapi,, ana kitambi kikubwa tuu
unataka bifu lenu lirudi tenaAnatumbo kubwa kama Babu side alikua swahiba wake kipindi kana soma makongo na alipenda kula jolo la mama kipingu hatari
Na haliwezi rudi huyo prezziida kitambi hana jipya kiboko yake Clepatina soon ataunganasi... kumshikisha adabu akileta mbwembwe zakeunataka bifu lenu lirudi tena
Tatizo lako ni kusingizie wengine matatizo yakoNa haliwezi rudi huyo prezziida kitambi hana jipya kiboko yake Clepatina soon ataunganasi... kumshikisha adabu akileta mbwembwe zake
Matatizo gani wakati huyu jamaa ni zero brain....Wewe umeona wapi mtu akiwa anatongoza anatuma cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimu aliyonayo huyu si pimbi kweli kweliTatizo lako ni kusingizie wengine matatizo yako
Haya ni masikitiko makubwaMatatizo gani wakati huyu jamaa ni zero brain....Wewe umeona wapi mtu akiwa anatongoza anatuma cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimu aliyonayo huyu si pimbi kweli kweli
usiingilie bifu la hao wawili, wanagombana kisa lishangazi la j.fHaya ni masikitiko makubwa
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.