• Support Our Forum

    We use ads to help cover hosting and maintenance costs. Ads are kept clean and non-intrusive.

    If you're using an ad blocker, please whitelist our site or disable injected ads.

    To report bad ads or request an ad-free experience, contact us or click here.

    Thank you for supporting the community!

Msaada NATAFUTA MCHUMBA

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Hii sio ndoto ila ni ishara kuwa umeanza kuchanganyikiwa taratibu...Hebu jiulize huko anapoishi anakutana na wangapi wenye mvuto na mkwanja mrefu na wenye umashuhuri mkubwa duniani...Sasa wewe kapuku unataka kutuletea hadithi za abunuasi hapa au pimbi na harakati zake mtaani....Fikiria zaidi acha kukaza fuvu...Tumia akili mtu wangu!
Mada nyepesi hivi mnatumia akili kubwa
Acheni matumizi mabaya ya ubongo
Huyu anachokitaka hakijui bado anatamaa zile za mwanzo akiwa katoto
Maana aliona binti anavunjwa bikra na Jason monoa
 
Prezzi ndie aliepigwa chini hata hakuwahi fuatwa PM ila mimi nilifuatwa na kubembelezwa kwa sauti yenye mahaba mazito na kuutuliza mtima wangu kwani alitambua hisia zangu zilikua za kweli lkn sio Gily mzee wa sound za kaboka mchizi 🤣🤣🤣
Usichokijua clepatina ni Mwanaume 🤣 sema tu tukutajie ID yake nyingine Kuwa makini ytapigwa na kitu kizito kichwani
 
Hii sio ndoto ila ni ishara kuwa umeanza kuchanganyikiwa taratibu...Hebu jiulize huko anapoishi anakutana na wangapi wenye mvuto na mkwanja mrefu na wenye umashuhuri mkubwa duniani...Sasa wewe kapuku unataka kutuletea hadithi za abunuasi hapa au pimbi na harakati zake mtaani....Fikiria zaidi acha kukaza fuvu...Tumia akili mtu wangu!
watu kama wewe ndio mnanipa machungu nizidi kumsaka uyo binti..
 
Prezzi ndie aliepigwa chini hata hakuwahi fuatwa PM ila mimi nilifuatwa na kubembelezwa kwa sauti yenye mahaba mazito na kuutuliza mtima wangu kwani alitambua hisia zangu zilikua za kweli lkn sio Gily mzee wa sound za kaboka mchizi 🤣🤣🤣
naombeni sana izo story zenu ziishie hapa uzi wangu usije ukafutwa
 

Similar threads

Wakuu nipo alone mwenyewe huku muda umesonga kigiza kimeingia ila sijui nipike nini au ninunue kiepe? Wadau nipeni mawazo msosi wa chap ambao hautumii nguvu na ela nyingi duh nimekuwa mvivu wa kufikitia Gily Leejay Katkit
Replies
15
Views
827
Tatizo la kunyonyoka kwa nywele na kuwa na kipara limekuwa likiwatatiza wanaume wengi kwa muda. Shida hii mara nyingi huanza wanaume wakiwa wana miaka 30 hivi, na kufikia umri wa miaka 50 nusu ya wanaume huwa wanakabiliwa na tatizo hili. Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo...
Replies
18
Views
630
Oya wadau mwenye mbinu ya kunisaidia niweze kuongeza pesa zangu mara mbili au zaidi, yaani kudoubling hela nliyonayo sasa.. tupeane michongo
Replies
64
Views
2K
Wanakijiji amani ya Mungu iwe nanyi Naomba msaada kwa ajili ya mtoto huyu wa mjomba. Kwanza mjomba alizaa na mwanamke wa kichagaa wakaachana sababu sifahamu kwani nilikua mdogo kiasi. Sasa baadae mjomba akaja kuoa mwanamke mwingine wa kichaga ambae yupo bae mpaka sasa. Msaada ninao taka kutoka...
Replies
12
Views
418
  • Article Article
Sehemu ya 1 Mapambano ya naanza ni siku nyingine Naitwa Thaibu kijana mchapa kazi, nilizaliwa mnamo tarehe 08/06/2004 nilimaliza elimu yangu ya msingi 2016 na siku bahatika kuendelea na shule hivyo nilitumia mwaka mzima nyumbani mpaka pale nilipoona kuwa sasa inabidi niyajenge maisha yangu...
Replies
13
Views
540

Members online

Back
Top