Msaada kwa ndugu huyu kwa mila za wachaga

Little

Active Villager
Platinum Villager
Joined
Jun 28, 2023
Messages
303
Reaction score
877
Points
1,900
Wanakijiji amani ya Mungu iwe nanyi
Naomba msaada kwa ajili ya mtoto huyu wa mjomba. Kwanza mjomba alizaa na mwanamke wa kichagaa wakaachana sababu sifahamu kwani nilikua mdogo kiasi.

Sasa baadae mjomba akaja kuoa mwanamke mwingine wa kichaga ambae yupo bae mpaka sasa.
Msaada ninao taka kutoka kwa wachaga ni juu ya huyu mtoto ambae alizawi kisha wazazj wakaachana japoa hawakufunga ndoa.

Katika kutengana kwao mtoto alienda na mama ila baada ya miaka mitatu yule mama akaja akamuacha mtoto mlangoni mtoto akalelewa amemaliza form four mwaka jana.

Huyu mtoto sasa amekua na changamoto nyingi nyingi mara atake kujiua, mara azurure mtaani kama kichaa, mara aamke atukane ndugu upande wa baba kwa meseji tele, yani unaweza ukaamka na kukuta meseji 50 anakuambia mambo mengi yasiyoeleweka, mara anatuchukia, kiufupi haeleweki japo darasana anafanya vema.
( kuna kipindi hapo kati aliondoka kwa baba yake akaenda huko kwa wajomba zake wachaga)

Sasa huko alipo tukasikia mara alikamatwa na polisi anazurura wakamhoji mwisho wa siku wakamuachia. Baada ya tukio hili ndugu zake upande wa mama wakaja kwa mjomba hawakumkuta wakimtaka aridhie huyu mtoto akafanyiwe mila ili atulie hvyo kama ataridhia sijui anunue mbuzi wawili wakachinjwe kaburini kwa babu yake na mtoto kwani babu huyo hakupenda mtoto alivyoletwa kwa baba yake kipindi kiwa mdogo hvyo kukasirika kwake akasema maneno kua mtoto hatotulia maisha yake yote lazima awasumbue.

Sasa wachaga haya yanaweza yakawa na ukweli? Maana mtoto ana heka heka mpaka hatuelewi. Samahani kama nitakua sijaeleweka mie mzuri kuongea ila kuandika mtiti
 
Mimi ni mchaga toka Rombo

Ushauri: Mila za kichaga husumbua sana hususani kuna miji wana mila kali sana. Kama ni tatizo lipo kwenye familia yake husika ni kweli aende akafanyiwe mila

Ila kama mama yake kijana ndio mchaga inanishangaza kwa sababu watoto wa wanawake hawana mila uchagani isipokuwa watoto wa wanaume tu.

Je huyu kijana uchaga wake uko kwa baba au mama? Hapo umeeleza mjomba alizaa na mwanamke wa kichaga. Je mjomba ni mchaga?
 
Mimi ni mchaga toka Rombo

Ushauri: Mila za kichaga husumbua sana hususani kuna miji wana mila kali sana. Kama ni tatizo lipo kwenye familia yake husika ni kweli aende akafanyiwe mila

Ila kama mama yake kijana ndio mchaga inanishangaza kwa sababu watoto wa wanawake hawana mila uchagani isipokuwa watoto wa wanaume tu.

Je huyu kijana uchaga wake uko kwa baba au mama?
Uchaga kwa mama, ila babu ambae ni baba mzaa mama hakupenda huyu mtoto arudishwe kwa mwanaume baada ya kuachana sasa sijui ndo alitoa laana, yan mtot haeleweki, jmosi katoka rombo jumapili kaamkia kanisan bila kuoga kunawa uso na tope la rombo yan amekua sijui kichaa na yeye mwenyewe anasema yeye ni kichaa
 
Last edited:
Na ktk hizo msg zake nyingi anazotumaga anasema huko kwao (kwa mama) majirani wanawacheka maana kwao ni vichaa, na habari za juu juu zinasema mama yake nae amekua kichaa
Hivi ukichaa unarithishwa?
 
Uchaga kwa mama, ila babu ambae ni baba mzaa mama hakupenda huyu mtoto arudishwa kwa mwanaume baada ya kuachana sasa sijui ndo alitoa laana, yan mtot haeleweki, jmosi katoka rombo jumapili kaamkia kanisan bila juoga kunawa uso na tope la rombo yan amekua sijui kichaa na yeye mwenyewe anasema yeye ni kichaa
Mtoto wa mwanamke anaweza kuhusika na mila, endapo
1. Karithi jina la huko nyumbani
2. Kavunja miiko na awe karithi jina

Ila ni nadra na sijawahi kukutana na mtoto wa mwanamke mchaga baba sio mchaga afanyiwe mila za kichaga. HUYO SIO MCHAGA

Kuna baadhi ya koo hazili baadhi ya nyama kama ukoo wa Shirima Hawaii Kitasura (nyama ya sikio). Sasa mtoto akirithi jina huko nyumbani anatakiwa afate miiko ya huko...
 
Mtoto wa mwanamke anaweza kuhusika na mila, endapo
1. Karithi jina la huko nyumbani
2. Kavunja miiko na awe karithi jina

Ila ni nadra na sijawahi kukutana na mtoto wa mwanamke mchaga baba sio mchaga afanyiwe mila za kichaga. HUYO SIO MCHAGA

Kuna baadhi ya koo hazili baadhi ya nyama kama ukoo wa Shirima Hawaii Kitasura (nyama ya sikio). Sasa mtoto akirithi jina huko nyumbani anatakiwa afate miiko ya huko...
Mh sijui sasa, au kwa vile walimlea ile miaka mitatu ya mwanzo, japo kuzaliwa alizaliwa kwa baba
 
Na ktk hizo msg zake nyingi anazotumaga anasema huko kwao (kwa mama) majirani wanawacheka maana kwao ni vichaa, na habari za juu juu zinasema mama yake nae amekua kichaa
Hivi ukichaa unarithishwa?
Kwa hii taarifa
Itakuwa amerithishwa ila sasa inaweza kuwa sio swala la mila.

Ndio ukichaa unarithishwa Ila wataalamu watakuja kukueleza hili.

Sasa kama huko nyumbani kuna uchizi na hawajapona wenye damu yao. Itakuwaje asiye damu kamili?

Usikute anatumia Smart Sungura (Gin Tonic) - Hizi pombe zinaharibu watu mbaya
 
Sijui kwa kweli ni mtihani mno
Kwa hii taarifa
Itakuwa amerithishwa ila sasa inaweza kuwa sio swala la mila.

Ndio ukichaa unarithishwa Ila wataalamu watakuja kukueleza hili.

Sasa kama huko nyumbani kuna uchizi na hawajapona wenye damu yao. Itakuwaje asiye damu kamili?

Usikute anatumia Smart Sungura (Gin Tonic) - Hizi pombe zinaharibu watu mbaya
 
Mh sijui sasa, au kwa vile walimlea ile miaka mitatu ya mwanzo, japo kuzaliwa alizaliwa kwa baba
Wangeanza kwanza hospital wakimpima madaktari wata conclude kama yuko sane au ana tatizo la akili

Huwezi amini nishwahi mpeleka mgonjwa Muhimbili kwa siku anajaziwa chupa nme za damu na bado ajaziwe maji. Doctor akaniambia huyu hana tatizo la hospital mpelekeni kwenye maombi.
 
Wangeanza kwanza hospital wakimpima madaktari wata conclude kama yuko sane au ana tatizo la akili

Huwezi amini nishwahi mpeleka mgonjwa Muhimbili kwa siku anajaziwa chupa nme za damu na bado ajaziwe maji. Doctor akaniambia huyu hana tatizo la hospital mpelekeni kwenye maombi.
Duuuu yan maisha yana mengi
Huku ukiangaika kupata mkate wa siku kuna wengine hawataki uupate hata kdg kazi sana
 
sidhani kama ni uchagga tu nahisi ni tabia yake
 
Muende pia hospital kucheki afya ya ubongo maana matatizo kama hayo yanarithishwa pia
 

Similar threads

Wakuu nipo alone mwenyewe huku muda umesonga kigiza kimeingia ila sijui nipike nini au ninunue kiepe? Wadau nipeni mawazo msosi wa chap ambao hautumii nguvu na ela nyingi duh nimekuwa mvivu wa kufikitia Gily Leejay Katkit
Replies
15
Views
619
Tatizo la kunyonyoka kwa nywele na kuwa na kipara limekuwa likiwatatiza wanaume wengi kwa muda. Shida hii mara nyingi huanza wanaume wakiwa wana miaka 30 hivi, na kufikia umri wa miaka 50 nusu ya wanaume huwa wanakabiliwa na tatizo hili. Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo...
Replies
18
Views
429
Ndugu zangu nazani mnajua ya kwamba mimi niko single, nmekuja hapa ili mnisaidie jambo hili... Kipindi cha nyuma kidogo nliangaliaga series ya GOT (game of throne).. kwa kweli nlijikuta nampenda sana huyu dada mother of dragon, Nasijawai penda mdada mwingine mpaka leo hii, kwahvo inanibidi...
Replies
49
Views
776
Oya wadau mwenye mbinu ya kunisaidia niweze kuongeza pesa zangu mara mbili au zaidi, yaani kudoubling hela nliyonayo sasa.. tupeane michongo
Replies
64
Views
2K
  • Article Article
Sehemu ya 1 Mapambano ya naanza ni siku nyingine Naitwa Thaibu kijana mchapa kazi, nilizaliwa mnamo tarehe 08/06/2004 nilimaliza elimu yangu ya msingi 2016 na siku bahatika kuendelea na shule hivyo nilitumia mwaka mzima nyumbani mpaka pale nilipoona kuwa sasa inabidi niyajenge maisha yangu...
Replies
13
Views
489

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top