You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly. You should upgrade or use an alternative browser.
Health
This provides health communications, information, education and research products and services that advance leadership for health.
Welcome to our community
Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Ugonjwa wa fangasi (Candidiasis) husababishwa na vimelea vijulikanavyo kwa kitaalamu kama ‘Candida albicans’. Vimelea hivi hushambulia jinsia zote lakini hushambulia zaidi wanawake sababu ya maumbile yao ya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu kitu kinachopelekea wao kuathiriwa zaidi kuliko...
Wadau koo linauma ( Wanasaga ukitumia maji ya baridi, na kuna sehemu nilisoma ni et maambukizi kwenye tezi ) ila mimi sio mtumiaji sana wa maji ya baridi
Nilikunywa Panadol ila wapi yani na mafua yameniandama hapa sioni raha za dunia nimeshindwa hata kupoga code ili niurelease ule mfumowa...
Virologists blow the whistle: MPOX is actually a known side effect of COVID Vax!
Top doctors worldwide are stepping forward to expose the World Health Organization’s monkey-pox scare as a cover-up for known side effects linked to the COVID mRNA vaccines.
According to leading virologist Dr...
Je, kafeini ni ya kulevya?
Watu wengi huendeleza uvumilivu wa kafeini. Hii ina maana kwamba mwili hubadilika na kuzoea kutumia kafeini kila siku. Baada ya muda, huenda tukahitaji kuendelea kuongeza ulaji wetu wa kafeini ili kufikia athari zinazohitajika za kuwa macho na uwezo wa kuzingatia...
Inatokea mara chache sana kwa mwanamke kupata mimba mbili kwa wakati mmoja, au kupata ujauzito akiwa mjamzito.
Wataalamu wanaorodhesha sababu tatu za kibaiolojia ambazo zinapelekea ugumu wa hilo kutokea:
1. Mayai kutozalishwa ama kutoka. Kawaida mwanamke anahitaji kutoa yai lenye afya ili...
Je, ni umri gani napaswa kumpa mtoto wangu maziwa ya Ng'ombe?
Baada ya umri wa miezi 12 (lakini sio kabla ya miezi 12), mtoto wako anaweza kupewa maziwa ya ng'ombe. Kabla ya mtoto wako kufikia umri wa miezi 12, maziwa ya ng'ombe yanaweza kumweka katika hatari ya kutokwa na damu ndani ya utumbo...
Kuoga maji baridi
Ni jambo gani la kwanza linalokuja akilini unapofikiria juu ya kuoga baridi?
Faida za kuoga maji ya baridi
Kwanza maji ya baridi hukufanya uchangamke, hili ni tofauti na maji ya moto.
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Thrombosis Research Institute, watu wanaooga maji ya...
Kupumua ni jambo muhimu zaidi kwa afya na ukuaji wa mtoto. Watu wote wanapaswa kupumua kupitia pua zao na sio kupitia kinywa chao. Pua imetengenezwa na kutayarishwa kupasha moto na kulainisha hewa inayoingia kwenye mapafu.
Kuna baadhi ya watu ambao huwa na tabia ya kupumua kupitia vinywa vyao...
Hutakiwi kumbusu mtoto sikioni:
Ukimbusu mtoto sikioni. Imekuwa ni kawaida ya watu kubusu watoto masikioni, wasijue hii inaweza mletea mtoto kuwa kiziwi. Bush hili ambalo hutambulila kama 'Busu lisilo na hatia' linaweza pia mletea mtoto maumivu ya maisha inapotokea ngoma imepasuka.
English: An...
Kumekuwa na wimbi la vijana wanaokula mihogo mibichi wakiamini kuwa inaongeza nguvu za tendo. Kijana mmoja wa hovyo alisikika akisema 'nikila mihogo, karanga na nazi nakuwa na show kali hatari'
Picha hii chini ni ya Mtoto aliyewahi kupata madhara kwa kula mihogo, Septemba 1986
Mwaka 1981...
Mambo yanayoweza kukufanya ulale vizuri
-Kupata kiamsha kinywa ndani ya nusu saa au saa moja baada ya kuamka, haswa kama unajisikia uchovu. Ni muhimu kula kitu ili kutuliza mzunguko wa damu na sukari.
-Punguza unywaji wa kahawa au vinywaji vingine vyenye kafeini kwa kula chakula kama mbadala...
Kuwa na kitambi ni lugha ya mwili ( body-language ) inayo leta ujumbe kwako kwamba mwili wako haupo salama tena. Kama una kitambi maana yake una mafuta yasiyo hitajika mwilini mwako.
Hali hii kitabibu imaanisha kwamba, ogani nyinginezo zilizomo ndani ya mwili...
Habari wanakijiji
Wakati niko shule ya msingi tukifundishwa kuwa ukiumwa na nyoka unatakiwa ufunge juu ulipoumwa na nyoka kuzuia damu yenye sumu kisambaa mwilini. Hivi karibuni nimeona taarifa tofauti zikitolewa kuwa si sahihi.
Taarifa zinasema "Baadhi ya watu hufunga kwa nguvu sehemu iliyoumwa...
Kulingana na Utafiti uliofanyika huko nchini Japani wanadai Alarm zina madhara ikiwa utatumia kukuamsha kila siku.
Alarm huongeza shinikizo la damu na kiwango cha moyo, mambo haya yanaweza kuwa na athari mbaya kwa afya yako kwa muda mrefu. Kuamka kwa kelele ya mshtuko kunaweza kuwa mbaya...
Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo.
Virutubisho katika papai
Kalori, Wanga, Nyuzinyuzi, Protini, Vitamini C, Vitamini A, Vitamini B9, Potasiamu, Kalsiamu na Magnesiamu.
Faida...
Ndizi ni mojawapo ya tunda linalopendwa zaidi duniani, likiwa limesheheni vitamini na madini.
Ziko faida kadhaa za kiafya za ndizi ambazo ni muhimu kwa mlaji kula tunda hili. Faida hizi ni pamoja na:
1: Inasawazisha maji ya mwili "homoni": ndizi ina kiasi kikubwa cha potasiamu na vitamini B6...
Hamjambo(msijibu)...
Je umeshawai jiuliza kwanini na kupiga kooote mswaki lakini bado meno yanazidi kuwa ya njano?
Na wengine mmeenda mbali kabsa mkatukana hadi kolugeti na waitidenti kwamba ni matapeli,,
Sasa mimi nataka nikupige na kitu kizito kichwani,,,,
Ukitaka kufanya meno yako yawe...
Zaidi ya nusu ya watu duniani watakuwa na uzito wa mwili kufikia mwaka 2035 iwapo hatua hazitachukuliwa, limetahadharisha shirikisho la kupambana na unene wa mwili wa kupindukiaduniani, (World Obesity Federation ), limetahadharisha.
Watu zaidi ya bilioni nne wataathiriwa, huku viwango...
Dar es Saalam. Wakati wengi tukiamini maji ndiyo kinywaji pekee kinachoweza kutumiwa na binadamu kwa kiwango chochote bila kuwa na madhara, kitaalamu hali ni tofauti.
Wataalamu wanatahadharisha kuwa unywaji maji kupita kiasi ni hatari kwa afya.
Akizungumza na Mwananchi, daktari wa Hospitali ya...
Kila mtu ana vijidudu katika miili yao vinavyoitwa bakteria na virusi. Kuna “bakteria wazuri” ambao hutusaidia kuwa na afya njema, lakini kwa kawaida virusi hutufanya wagonjwa.
Antibiotiki ni dawa zenye nguvu zinazoweza kupambana na maambukizi na kuokoa maisha kwa kuua bakteria katika mwili...